Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 49,734
- 89,333
Warembo kama wewe mnapenda wenyewe.Angalia usigawe uroda kama ulivyogawa juzi.
Warembo kama wewe mnapenda wenyewe.Angalia usigawe uroda kama ulivyogawa juzi.
MSijui kama mmegundua hili? Wale vidampa wanaomkosoa Magufuli wengi wao wamejibanza mtandaoni tu na hasa Jamiiforums.
Mtaani mambo ni tofauti sana. Watu wanamkumbuka sana Jemedari wa vita (chuma cha pua) kwa mambo mengi mema aliyoyafanya.
Hawa vidampa na mafisadi sugu waliojibanza mitandaoni ndio wanaorusha vijembe dhidi ya Magufuli.
Unakuta fisadi moja linamiliki ID's saba zenye maudhui na malengo mfanano ya kumchafua jemedari. Kazi yake ni kubwata na kufoka.
Fisadi lenyewe limebebelea mavyeti feki. Eti na lenyewe linataka ajira!
Nitoe indhari kwa Rais Samia awe makini sana na hawa mafisadi sugu. Wengi wao ni wale oya oya wanaopenda kudoea doea, kupiga madili na kufanya ujanja ujanja.
Ahsante.
Magufuli anaungwa mkono na watu wafuatao.Sijui kama mmegundua hili? Wale vidampa wanaomkosoa Magufuli wengi wao wamejibanza mtandaoni tu na hasa Jamiiforums.
Mtaani mambo ni tofauti sana. Watu wanamkumbuka sana Jemedari wa vita (chuma cha pua) kwa mambo mengi mema aliyoyafanya.
Hawa vidampa na mafisadi sugu waliojibanza mitandaoni ndio wanaorusha vijembe dhidi ya Magufuli.
Unakuta fisadi moja linamiliki ID's saba zenye maudhui na malengo mfanano ya kumchafua jemedari. Kazi yake ni kubwata na kufoka.
Fisadi lenyewe limebebelea mavyeti feki. Eti na lenyewe linataka ajira!
Nitoe indhari kwa Rais Samia awe makini sana na hawa mafisadi sugu. Wengi wao ni wale oya oya wanaopenda kudoea doea, kupiga madili na kufanya ujanja ujanja.
Ahsante.
Kwamba umeolewa mitala.Uthibitisho upi?
Huu ni utetezi wa fisadi sugu.M
Magufuli anaungwa mkono na watu wafuatao.
Wajinga na wapuuzi wasioweza kupembua pumba na mchele
2. Wanufaika wa mfumo wake kama sabaya, makonda , musiba na hawa wengine wenye ID kumi kwa mamia wakiwemo watu wa kabila lake [sukuma gang]
3. Waliokuwa hawana access ya taarifa zinazomhusu yule bwana JPM
NJE YA HAPO HAUNGWI MKONO NA YYEYOTE KWAKUWA HANA CHA KUMFANYA MWENYE AKILI TIMAMU AMUUNGE MKONO
Akili za kula tunda kimasiala hizi, umeandika nini hapa
Yako ni mawazo ya mtoto zezeta.Huu ni utetezi wa fisadi sugu.
Sasa mm na ufisadi wapi na wapi mkuu? Badae utaniambia nilitumbuliwa vyeti fake nkHuu ni utetezi wa fisadi sugu.
Basi wewe utakuwa kidampa tu, maana hata hela za kifisadi huna.Sasa mm na ufisadi wapi na wapi mkuu? Badae utaniambia nilitumbuliwa vyeti fake nk
Kweli kabisaBasi wewe utakuwa kidampa tu, maana hata hela za kifisadi huna.
Kwahiyo kwa sababu ulimboka alifanywa kilema ni haki wengine kuuwawa? Sawa tu?Dr ulimboka alipata ulemavu Kwa amri ya magufuli?
Wale waislam wa mwembe chai walipata ulemavu Kwa amri ya magufuli?
Babu seya alifungwa Maisha Kwa amri ya magufuli?
Others they are Rulers but Magufuli was a Real Leader.
Hao waliouwawa weka ushahidi hapa kwamba aliyewauwa ni Magufuli?Kwahiyo kwa sababu ulimboka alifanywa kilema ni haki wengine kuuwawa? Sawa tu?
Nchi hii ina wajinga wengi sana
Usiwasahau vyeti feki waliotumbuliwa na familia zao pia wako huku jamii forum nao wanakomaa kumzodoa na kumkejeli JpmSijui kama mmegundua hili? Wale vidampa wanaomkosoa Magufuli wengi wao wamejibanza mtandaoni tu na hasa Jamiiforums.
Mtaani mambo ni tofauti sana. Watu wanamkumbuka sana Jemedari wa vita (chuma cha pua) kwa mambo mengi mema aliyoyafanya.
Hawa vidampa na mafisadi sugu waliojibanza mitandaoni ndio wanaorusha vijembe dhidi ya Magufuli.
Unakuta fisadi moja linamiliki ID's saba zenye maudhui na malengo mfanano ya kumchafua jemedari. Kazi yake ni kubwata na kufoka.
Fisadi lenyewe limebebelea mavyeti feki. Eti na lenyewe linataka ajira!
Nitoe indhari kwa Rais Samia awe makini sana na hawa mafisadi sugu. Wengi wao ni wale oya oya wanaopenda kudoea doea na kufanya janja janja.
Ahsante.
Hicho kipimo cha ujinga uliwapimaje wa TanzaniaHuo usafi wa Magufuli ni UPI.by the way 80% ya watanzania ni wajinga-mtu mjinga hawezi ukimwambia 2 ni Z hawezi kukataa.Ukijumuisha na style ya Uongozi wa Magufuli wa kubinya uwazi wa Serikali lazima kila moja aseme Magufuli ni MTU poa.
Huyo ulimboka aliumizwa na jk? Hoja za kipuuzi na kishabiki zipite mbaliHao waliouwawa weka ushahidi hapa kwamba aliyewauwa ni Magufuli?
Thibitisha kwamba aliyewauwa ni Magufuli? Unaleta tena story za vijiweni.Huyo ulimboka aliumizwa na jk? Hoja za kipuuzi na kishabiki zipite mbali
Leo tukijadili mauaji ya Anzory gwanda na Ben sanane unataka tuweke ushahidi gani wakati wazir wa JPM Alikir kwqmba wameuwawa.
Raisi ni taasis au ni mtu?Thibitisha kwamba aliyewauwa ni Magufuli? Unaleta tena story za vijiweni.
Unaposema magufuli amejenga barabara ni au reli au sijui ndege ni kwamba yye alitia pesa zake mfukoni kama mtu au taasisi ya uraiisi iliamua hivyo? Maswali haya ukiyaelewa yatakutoa kwenye huu ujinga wa kudai uthibitisho wa kitoto unaouomba hapaThibitisha kwamba aliyewauwa ni Magufuli? Unaleta tena story za vijiweni.
Unanipa wasiwasi kwa maswali unayouliza.Raisi ni taasis au ni mtu?