Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Dah!kama dini hii imeshushwa na MUNGU,basi huyu MUNGU ni zaidi ya nimjuavyo.Mambo ya Rwanda 94 Zanzibar kwani Radio Al Nuur sasa havi ndio inatangaza kwamba Jitolee roho yako na Mali zako kwani Mtume anazinunua na Malipo makubwa mno ambayo ni Pepo. Yasema toa roho ya Kafir na ikiwa kakuzi basi una malipo makubwa kwa vyovyote vile