PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Kimsingi, hali ya uchomaji makanisa kama inaendelea kuwa hivi ni bora JWTZ waingilie kati, maana aidha Polisi wamezidiwa au kushindwa kupata habari beforehand.
Simaanishi kuwa JWTZ ndio suluhu ya mwisho, lakini watasaidia kufanya uchunguzi wa hujuma hizi ili angalau kuwapata watu wachache watakaosaidia kueleze mipango hii inafanyiwa wapi, na iko nyuma ya watu gani.
Kwa wakati huu, wakristo endeleeni kudumisha amani na kuwa na roho ya kutolipiza kisasi, maana mkithubutu kufanya kitu, utakuwa ndiyo mwanzo wa mwisho wa Taifa linaloitwa Tanzania.
Mwisho niwape pole sana Vigango, Usharika na Parokia zote ambao wamechomewa makanisa yao...Mungu atawapa makanisa mazuri kuliko yale.
Simaanishi kuwa JWTZ ndio suluhu ya mwisho, lakini watasaidia kufanya uchunguzi wa hujuma hizi ili angalau kuwapata watu wachache watakaosaidia kueleze mipango hii inafanyiwa wapi, na iko nyuma ya watu gani.
Kwa wakati huu, wakristo endeleeni kudumisha amani na kuwa na roho ya kutolipiza kisasi, maana mkithubutu kufanya kitu, utakuwa ndiyo mwanzo wa mwisho wa Taifa linaloitwa Tanzania.
Mwisho niwape pole sana Vigango, Usharika na Parokia zote ambao wamechomewa makanisa yao...Mungu atawapa makanisa mazuri kuliko yale.