Wanaoleta vurugu za kidini wanadekezwa

SIDHANI KAMA NDUGU ZETU WAISLAMU WATAIGA YALE YA UARABUNI KULE,MAANA WAO NI WASTAARABU HASWA HAWAIGI MAMBO YA KIJINGAX2 ETI KWA SABABU WALIJISAHAU/KUSAHAULIWA KIDOGO TU.KIUKWELI WAO NI WASTAARABU,WANYENYEKEVU,WAVUMILIVU,WAUNGWANA,WAADILI NA WACHA MUNGU KWELIx2.ISIKUTE WALE WANAOCHOMA MAKANISA WAKAWA NDANI YA UKIRISTO KWA MASHINIKIZO YA KISIASA.MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Mungu wetu usiyepiganiwa kwa vita vya moto! jidhihirishe ili waone ukuu wako! sisi vita vyetu si vya damu na nyama! Mungu wetu si wa machafuko! waache wamtest! wanataka laana hao! wakaendelee kufuga majini/malaika wao!
 
Ni bora kuheshimu dini za wengine na imani za wengine!

Naomba ni kupinge kidogo kitendo kilicho fanywa na mtoto hakikubaliki na nicha kulaaniwa kwa vile ni vitabu tukufu hivyo ni muhimu kuheshimiwa na kila mtu. Lakini hii pia hailetii uhalali wa kuchoma makanisa.

Lakini lazima tujue kitendo alicho fanya mtoto ni kosa !
 
Mungu wetu si wa machafuko! wala si wa vita vya damu na nyama! wacha wamtetee Mungu wao asiye hai! Ee Mungu wetu wasamehe maana hawajui walitendalo!
 
Hofu yangu ni kwamba muziki huu ni mnene, inabidi JWTZ wawe tayari kusaidia, hasa kulinda makanisa na taasisi zisizo za kiislamu maana wenzetu hawa, wengi wao akili zao zinaishia kwenye ushauri wanaoupata kutoka kwa maustaadhi wao, basi!
acha matusi,yaelekea na wewe unafikiri kwa kutumia tumbo badala ya kichwa,na pengine mafuta ya nguruwe pori yamekuathiri sana.pole na kafie mbali.aibu,,,
 
nashangaa kuona vurugu za makanisa kuchomwa zikiendelea huku wahusika amabao walitakiwa kuchukua hatua ili kudhibiti hali ya mambo wapo kimya,kwa hali ya kawaida hainiingi akili coz huwezi jua hizi vurugu mwisho wake ni lini?inaweza tokea vita ya wakristo na waislam hapa ikawa balaa lingine,bwana mkubwa si umeapa kuilinda amani ya nchi?bunge vipi si wakutane kwa dharula kujadili ishu hii?bora kuchukua hatua mapema kuliko kuchelewa na kumwachia kova peke yake,amani ya nchi unamwachia kova????
 
Ndugu zangu, hali ya Zanzibar si njema. Na huku Dar nako tunaambiwa kesho itakuwa balaa baada ya swala ya Ijumaa. Nashauri JWTZ wakae mkao wa kuoiokoa jamii isiyo na hatia katika kadhia hii.

Maoni yako yaheshimwe.
 
Mnyika aliposema tuna Rais Dhaifu alifukuzwa bungeni kumbe alikuwa anasema ukweli mtupu. Yanayotokea sasa hivi ni udhibitisho kuwa tuna Rais Dhaifu
 
hawa waislam washatuzarau siye wakristo kwa sababu tu ya elimu yao ndogo ya madrasa lkn mwisho wao unakaribia ukizingatia hawafiki hata laki tano nchi mzma.wameshaona nchi ni ya kwao kisa baba mwenye nyumba ni wa kwao uvumilivu utatushinda bwana.
 
Kitendo alichofanya Mtoto huyu wa miaka kumi na minne hakikubaliki sawa, lakini kama mtoto anatakiwa kuonywa na siyo kuuawa au kupigwa na kundi la watu.

Na siyo mtoto huyu tu mmoja aliyekojolea hicho kitabu kitakatifu lakini hata mtoto aliyempa kitabu hicho ana makosa tena makubwa zaidi sababu anafahamu vizuri dini yake na Utakatifu wa kitabu hicho hivyo kama ni adhabu basi wote watoto hawa wanastahili adhabu iliyolingana ili huyu mmoja asifanye kosa tena la kudhalilisha vitabu vitakatifu na wa pili asifanye kosa tena la kukitoa kitabu hicho ili kidhalilishwe.

Na cha mwisho walioenda kuchoma nyumba za Ibada ni watu wazima hawa ndio kabisa wanatakiwa kuhukumiwa kulingana na sheria za nchi kwa kosa la jinai kuhatarisha Amani ya nchi,lakini kwa Watoto hawa wawili adhabu yao ni ya kawaida kuonywa na kuadhibiwa kama watoto waliokosa lakini hawastahili kuuawa wala kupigwa na UMATI wa watu.
 
Baadhi ya aya zako mtoa mada nazo zinaonesha kuegemea upande mmoja na zinazidisha chuki. Unasema wanafanya hivyo " ..bila sababu ya msingi eti kwa vile Quran imekojolewa". Yaani unaongea kirahisi kama hili tendo ni lakawaida sana. Rekebisha kauli zako. Yapaswa tuheshimu imani za wenzetu ili tuendelee kuishi kwa amani.
 
Baadhi ya aya zako mtoa mada nazo zinaonesha kuegemea upande mmoja na zinazidisha chuki. Unasema wanafanya hivyo " ..bila sababu ya msingi eti kwa vile Quran imekojolewa". Yaani unaongea kirahisi kama hili tendo ni lakawaida sana. Rekebisha kauli zako. Yapaswa tuheshimu imani za wenzetu ili tuendelee kuishi kwa amani.

Watoto kufanya vitu vya ajabu ni kawaida! akili zao bado hazijakomaa hivyo kitendo cha kuchoma kanisa kwasababu mtoto wa miaka 14 kakojolea kitabu si cha msingi kabisa. Je kama watu wangechoma msikiti kwasababu biblia imekojolewa Tanzania ingekuaje zaidi ya fujo tu! huwezi kuelezea fujo zinazotokea upande mmoja tu kila siku kwa watu wachache nchini. Kama kuna sababu nyingine ya kukasirika waseme lakini wasisingizie sababu ya mtoto wa miaka kumi na nne kukojolea kitabu cha dini.
 
Ni bora kuheshimu dini za wengine na imani za wengine!

Naomba ni kupinge kidogo kitendo kilicho fanywa na mtoto hakikubaliki na nicha kulaaniwa kwa vile ni vitabu tukufu hivyo ni muhimu kuheshimiwa na kila mtu. Lakini hii pia hailetii uhalali wa kuchoma makanisa.

Lakini lazima tujue kitendo alicho fanya mtoto ni kosa !



Siungi mkono hoja, kwa namna nyingine naweza kusema ni kitabu tuu wala hakina uhusiano wowote na mungu!
Huwezi kukiheshimu kitabu badala ya kumuheshimu mungu ambaye kakuumba. Una maana hicho kitabu ni zaidi ya mungu??

Wangapi ambao hata hawajawahi kukiona kitabu hicho wataenda kwa mungu!! Wangapi ambao wamekiona na kukisoma hadi mwisho hawatafika kwa mungu!!

Ukifika chalinze unaona kibao kinaelekeza Arusha na chenyewe hakiendi Arusha wala hakijui Arusha wala hakitafika huko na kila siku watu wanaenda na kurudi wanakikuta pale.
Funguka kidogo tafakari.
Kitabu hakiwezi kuchukua heshima ya mungu kwa mwanadamu! Kimebeba ujumbe tuu, ambao kwa wengine sio muhimu maana viko vingi na vyote vinaelekeza hukohuko! tutofautishe utukufu wa mungu na wa kitabu!
Anaabudiwa mungu ?? Au KITABU??? Na viko vingapi??? Kakojolea vyote??? Na hata kama vyote kakojolea pia mioyo yenye ujumbe wa mungu???
Sikuungi mkono!!!
Tafakari.Kitabu ni daraja tuu mtu apite
aende kwa mungu, chenyewe
hakitaenda kwa mungu! Kitabakia
hapohapo! Kwani hakuna
vinavyochakaa?? Na vinaenda
wapi??
 
Kimsingi, hali ya uchomaji makanisa kama inaendelea kuwa hivi ni bora JWTZ waingilie kati, maana aidha Polisi wamezidiwa au kushindwa kupata habari beforehand.

Simaanishi kuwa JWTZ ndio suluhu ya mwisho, lakini watasaidia kufanya uchunguzi wa hujuma hizi ili angalau kuwapata watu wachache watakaosaidia kueleze mipango hii inafanyiwa wapi, na iko nyuma ya watu gani.

Kwa wakati huu, wakristo endeleeni kudumisha amani na kuwa na roho ya kutolipiza kisasi, maana mkithubutu kufanya kitu, utakuwa ndiyo mwanzo wa mwisho wa Taifa linaloitwa Tanzania.
Mwisho niwape pole sana Vigango, Usharika na Parokia zote ambao wamechomewa makanisa yao...Mungu atawapa makanisa mazuri kuliko yale.

you are really correct mkuu! UTULIVU WA NCHI UKO REHANI!!!
 
Amani ilisha toweka tangu zamani,ona wandishi wa habari na mapolisi wanavyo fanyiana,iringa kimetokea nini,mwanza kimetokea nini,zanzibar kimetokea nn leo hii tuongelee amani?wastage of time,Taifa letu lisha poteza utamaduni na taifa lisilo na utamaduni ni taifa duni.
 
Mambo ya Rwanda 94 Zanzibar kwani Radio Al Nuur sasa havi ndio inatangaza kwamba Jitolee roho yako na Mali zako kwani Mtume anazinunua na Malipo makubwa mno ambayo ni Pepo. Yasema toa roho ya Kafir na ikiwa kakuzi basi una malipo makubwa kwa vyovyote vile
 
Watanzania wachache kati yetu wamekuwa wakileta vurugu zisizo za msingi wala chanzo cha maana Zanzibar tumeona makanisa yamechomwa bila sababu ya msingi, Dar tumeona kanisa limechomwa bila sababu ya msingi eti mtoto kakojolea kitabu cha dini lakini ni mtoto na watoto hawana akili vizuri bado!

Ndugu yangu amani iliyopo hapa ni woga tu wa waislam wanaokubali yaishe kwa misingi ya kuepusha shari, lakini kila uvumilivu huwa unafika kikomo na sasa kizazi hiki tulinacho hakioni sababu ya kuendeleza uvumilivu huo kwani mwisho wa siku ndio wanaoonekana watu wabaya, wenye udini na kila kitu.

Tazama wewe ndugu historia ya nchi hii na madhila waliyofanyiwa waislam na watawala wa nchi hii wakiongozwa na Kanisa Katoliki. Mfano mdogo tu ni kwamba baraza la mawaziri kuanzia enzi za Nyerere lilikuwa linahudhuriwa na kadinali. Mpaka leo waislam hawaelewi nafasi ya kisiasa ya kiongozi huyo mpaka ahudhurie kwenye kikao cha juu kabisa cha maamuzi katika nchi huku viongozi wa wengine wa kidini wakiwa hawana nafasi hiyo.

Hii ndio iliyopelekea Kanisa kutoa waraka wa uchaguzi 2010 na hatimaye kuendesha kampeni za chuki dhidi ya wagombea urais waislamu mwaka huo. Chuki hizi ziliendeshwa kuanzia kwenye kaya, kigango, parokia, mpaka kwenye majimbo. Chuki hizi zimepandwa kuuchukia uislamu, waislam na taasisi zake.

Huyu mnayedai kuwa ni mtoto (wa Mbagala) aliyekojolea Qur'an ni matunda ya mafundisho ya kikanisa ya kuuchukua uislam na waislam, hivyo yeye alikuwa anaonyesha tu kwa vitendo mafundisho yenu yaliyojaa ushetani wa chuki dhidi ya dini ya wengine. Unategemea kuvuna upendo wakati hujapanda mbegu yake?

Mkapa ameua waislamu wangapi hapa Tanzania? ameua waislamu kule Mwembechai, ameua waislamu kule Pemba tena bila sababu wala msingi wowote, kwani walichokuwa wanadai ni sawa sawa tu na maandamo yanayofanywa na CHADEMA siku hizi. lakini kwa sababu tu watu wa kule walikuwa waislamu nguvu kubwa ikatumika, wakauwawa na hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa kwa wauaji hawa huku makanisa yakipongeza kwa ushujaa huu wa kuua waislamu.

Tunasema waislamu tumechoka na dhuluma hizi na sasa nakuhakikishia kwamba hali ya mambo haiwezi kwenda un-checked kama zamani. Zanzibar lazima iachane na muungano kandamizi. Kwani kuna faida ya kuendelea kuwalazimisha wazanzibar kwenye Muungano? hivi hamjui kama lile lilikuwa taifa huru mpaka mwaka 1963, hamjui vile vile kuwa Mombasa, Lamu, Kismayu ni sehemu ya Zanzibar.

Nyerere aliulazimisha Muungano huu kwa maslahi ya Kikanisa na ndio sababu hata wewe unajicho moja lililokosa upembuzi. Waislamu wa leo si wale wa juzi tunajua kila kitu na sasa ili tukae vizuri kila Mtanzania athaminiwe utu wake, dini yake na apate kushiriki vema keki ya taifa. kwa hali ilivyo sasa nadiriki kukbaliana na msemo wa Karl Marx unasema " We have nothing to lose except Chain"
 
Back
Top Bottom