Wanaolalamikiwa kuwanyonya Wanamuziki, ndio waliopongezwa na Rais kwa kuwapigia simu

Gamba la Nyoka

JF-Expert Member
May 1, 2007
7,022
9,285
Juzi, Muzee kapiga simu katika kituo kimoja maarufu sana hapa jijini dar es salaam.
Wamiliki wa kituo hiki ni wadau wakubwa sana wa Muziki hapa nchini na kwa miaka mingi wamenufaika kwa jasho la wasanii.
Sasa serikali inataka WASANII walipwe kila muziki wao unavyopigwa, Wamiliki wa Kituo hiki inasemwa kuwa wao wanataka kushiriki Kwa mlango wa Nyuma kuanzisha Kampuni itakayokusanya pesa za wasanii kwa niaba yao. WANATAKA WAWE MONOPOLY
Hata hivyo baadhi ya wasanii inasemekana wanapinga hiyo kwa sababu hawana mechanism ya kuverify kuwa kilichokusanywa na kampuni X ndicho chenyewe.
Sasa naconnect dots, inasemekana uongozi wa Kituo hicho umehaha sana kumtafuta JPM bila mafanikio, hata hivyo sasa naona kwa kupitia connections zao JPM kaingizwa mkenge, tayari wamefanikiwa kujisogeza kwake.
Kitendo cha JPM kwenda hewani, kusifu kipindi kinachotengenezwa na kampuni hiyo, tayari ni dhahiri Wamefanikiwa kwa asilimia 90 sasa kuwa karibu na Muzee!. Kumbuka SERIKALI INATAKA WASANII WALIPWE KWA MIZIKI YAO KUCHEZWA katika TV na Redio, lakini bado tu kuna watu bado wanataka waendelee kula jasho la Wasanii kiujanja.

Kumbukeni Kampuni hii inayomiliki kituo hicho cha redio siyo mara ya kwanza kujipendekeza kwa Watawala, Hawa wamewahi Kumfanyia sherehe ya Birthday Mtemi aliyepita, Walimuandalia boooooonge la Keki!, Sasa naona kwa Connections zao wanamtafuta Muzee, Muzee kuwa makini!.

Tangu lini kipindi ambacho huwa hakipokei maoni kutoka kwa hadhira, eti leo Muzee apige kutoa maoni yake na arushwe hewani?, bila shaka wazee wa connections za mujini walishaset mambo!

Ni wazi kuwa ule msemo wa all that is is done in darkness shall be revealed to light unatimia katika awamu hii, wale waliozoea kuishi kwa figisufigisu waache maana zama zimebadirika.
 
Kwa nini usisubiri hayo unayosema unasikia, unasikia, unasikia yatokee ili hoja yako isimame katika msingi wa nguvu za hoja badala ya msingi wa nguvu za hearsay.

Hii dhana inayoitwa kukonekiti doti ni njia tu ya kuhalalisha udaku uwe ni nguvu ya hoja.

Wakati mwingine hakuna hata zile zinasemwa dotisi lakini tunaambiwa eti tuzikonekiti!

Waendesha kipindi wanahusiana nini na haki za wasanii?

Kwa nchi za wenzetu unakuta Rais anaenda/anahudhuria na kushiriki mpaka kwenye vipindi vya vichekesho au utani (satirical tv show) na wananchi wanaona ni suala la kawaida tu.

Sisi Rais akifanya jambo ambalo linafanywa na watu wa kawaida tunaanza kujenga hoja za ajabu ajabu kama vile Rais siyo binadamu kama sisi na anafanya suala la kawaida.

Tunapenda viongozi waishi kama sisi lakini sisi fikra zetu bado za kisultani.
 
"....................kipindi huwa hakipokei maoni ya watazamaji.........." (?????????????????)
 
Mwanzilishi wa Clouds FM enzi zile hakuwa mwanafunzi bora kabisa shuleni. Alipata bahati ya kuwa na Familia inayomuunga mkono kuanzia Baba mzazi mpaka wadogo zake (dada zake). Alichojaliwa kaka huyu ni ule uwezo wa kutazama sehemu ambazo watu wengi hawapendi kuzitazama. Pia hakuwa kijana mwenye makuu wakati wa ujana wake. Wengi ambao ni wa umri wake waliendekeza starehe (ingawa na yeye warembo walijisogeza karibu yake sana tu), lakini yeye amekuwa ni mtu mwenye bahati ya kujua kuishi na watu, kujua kujichanganya na watu.

Watanzania wengi tukipata visenti kidogo tunaanza kuwa na mapozi ya kipumbavu, huo ni ugonjwa wetu. Lakini mmiliki wa Clouds entertainment aliweza kukwepa mtego wa majivuno, ambao umewanasa wale agemates wake, wengi walifariki enzi zile yale maradhi maarufu yalipokuwa ni adui mkubwa sana wa maisha ya vijana wa Tanzania. Kwa hiyo cha muhimu sio kutafuta sababu za kumtusi mtu bali ni kuangalia jinsi gani kila fursa inavyoweza kutumika vizuri.

Joseph Kusaga ni mmoja wa wale mabrother waliozaliwa miaka ya sitini mwishoni, ambao wanastahili kuandika vitabu ili viweze kuchangia katika kukuza kile kiburi cha kujiamini miongoni mwa vijana wadogo. Erick Shigongo anajitahidi sana katika kuwajengea vijana ule uwezo wa kujiamini lakini wanahitajika wengi zaidi ili nchi hii iweze kutambua kwamba majungu sio mtaji wa kudumu bali ni wa muda mfupi sana.
 
Wanao endesha kipindi cha tv cha clouds 360 hawahusiani na haki za wanamuziki
kile ni kipindi tu kama kipindi

huwezi kumlaumu mtu akisema anakitazama na kukipenda
mimi nimeshangaa tu why hizi 'publicity stunts' now huku umaarufu wake uko juu?
motive ni nini?
 
Wanao endesha kipindi cha tv cha clouds 360 hawahusiani na haki za wanamuziki
kile ni kipindi tu kama kipindi

huwezi kumlaumu mtu akisema anakitazama na kukipenda
mimi nimeshangaa tu why hizi 'publicity stunts' now huku umaarufu wake uko juu?
motive ni nini?

Kwani wanaoendesha kipindi si ni wafanyakazi tu!

Miziki inawekwa katika vipindi vingine, na hivyo sheria ya kuwalipa wasanii itakapoanza kutumika Mangement ofcourse itahusika

The problem comes, when you try to lobby " trickly" to have your New Company to be a monopoly on collecting the monies " ONBEHALF of Artists"
 
Kwani wanaoendesha kipindi si ni wafanyakazi tu!

Miziki inawekwa katika vipindi vingine, na hivyo sheria ya kuwalipa wasanii itakapoanza kutumika Mangement ofcourse itahusika

mkuu twende taratibu
kama uongozi wa gazeti mfano la Mwananchi unadhulumu haki za wafanyakazi
na kila muajiriwa pale muandishi anahusika?
huwezi sema unapenda makala za muandishi fulani?
 
Wanao endesha kipindi cha tv cha clouds 360 hawahusiani na haki za wanamuziki
kile ni kipindi tu kama kipindi

huwezi kumlaumu mtu akisema anakitazama na kukipenda
mimi nimeshangaa tu why hizi 'publicity stunts' now huku umaarufu wake uko juu?
motive ni nini?
Nimeipenda hiyo Publicity Stunts, mzee wa chato anajaribu kupita njia zile zile walizopita kina Museveni, anataka kuonekana public figure kwa maana ya kwamba yupo tayari kushiriki maumivu na furaha za jamii. Tatizo ni kwamba katika Afrika, tumekuwa tukiongozwa na selfish interests za makundi yenye nguvu kijamii (lobbyists). Makundi haya hutengeneza mitandao ya wapambe ambao hujaribu kwa kila njia kuhakikisha kwamba malengo yao ndio yanakuwa malengo ya bwana mkubwa anayeishi kwenye jengo jeupe.
Huo ndio mtihani unaomkabili mzee wa chato baada ya kuionyesha jamii picha halisi kwamba anataka kuwa a down to earth person. Kisaikolojia ameanzisha vita ambayo crooks watatafuta njia mbadala ya kupambana nayo.
 
Ishu siyo Muzee kupiga simu na kuspeak his own mind, Issue ni Lobbysts ambao wanamtafuta wapate Favors kwenye ile sheria ya Kulazimika kuwalipa wasanii kila wanapocheza ngoma zao.

Bila shaka mnajua Muzee kama muzee mwenyewe kuinua wire na kuwaendea hewani probability ni 0.0001.

Muzee atakuwa ameandaliwa Mazingira, haikuwa Surprise ile!, Wajanja wametengeneza gemu, Muzee kaingia kingi!

Watu wanataka wajisogeze kwake kama walivyomuandalia Birthday Muzee wa Musoga!

Wanataka waendelee kupata favors kama kipindi kile.

Mmesahau mradi wa Malaria?
 
Kutafuta fursa ni sawa, ila mie siungi mkono kutafuta fursa kwa kupitia Rais wa nchi hata kidogo. Kufanya ulaghai japo kidogo kwa Rais ni sawa na matusi kwa nchi nzima, watu wasitumie ugeni wake na mambo ya mjini kunwingiza mjini
 
Kutafuta fursa ni sawa, ila mie siungi mkono kutafuta fursa kwa kupitia Rais wa nchi hata kidogo. Kufanya ulaghai japo kidogo kwa Rais ni sawa na matusi kwa nchi nzima, watu wasitumie ugeni wake na mambo ya mjini kunwingiza mjini

Kutafuta fursa siyo mbaya, tatizo linakuja pale unapokuwa greedy kiasi kwamba unataka sheria za kuisaidia jamii zitengenezwe fyongo ili zikunufaishe wewe!

Au unapotaka unfair competition kwa kujaribu kumonopolise " kisheria" stahiki fulani ya jamii.
 
P funk amekuwa akisema clouds ni wanyonyaji wakubwa wa kazi za wasanii ila nashangaa kwenye hili la CMEA wanakaa meza moja na Ruge..Shetani leo kapaka shedo kawa mzuri
 
Juzi, Muzee kapiga simu katika kituo kimoja maarufu sana hapa jijini dar es salaam.
Wamiliki wa kituo hiki ni wadau wakubwa sana wa Muziki hapa nchini na kwa miaka mingi wamenufaika kwa jasho la wasanii.
Sasa serikali inataka WASANII walipwe kila muziki wao unavyopigwa, Wamiliki wa Kituo hiki inasemwa kuwa wao wanataka kushiriki Kwa mlango wa Nyuma kuanzisha Kampuni itakayokusanya pesa za wasanii kwa niaba yao. WANATAKA WAWE MONOPOLY
Hata hivyo baadhi ya wasanii inasemekana wanapinga hiyo kwa sababu hawana mechanism ya kuverify kuwa kilichokusanywa na kampuni X ndicho chenyewe.
Sasa naconnect dots, inasemekana uongozi wa Kituo hicho umehaha sana kumtafuta JPM bila mafanikio, hata hivyo sasa naona kwa kupitia connections zao JPM kaingizwa mkenge, tayari wamefanikiwa kujisogeza kwake.
Kitendo cha JPM kwenda hewani, kusifu kipindi kinachotengenezwa na kampuni hiyo, tayari ni dhahiri Wamefanikiwa kwa asilimia 90 sasa kuwa karibu na Muzee!. Kumbuka SERIKALI INATAKA WASANII WALIPWE KWA MIZIKI YAO KUCHEZWA katika TV na Redio, lakini bado tu kuna watu bado wanataka waendelee kula jasho la Wasanii kiujanja.

Kumbukeni Kampuni hii inayomiliki kituo hicho cha redio siyo mara ya kwanza kujipendekeza kwa Watawala, Hawa wamewahi Kumfanyia sherehe ya Birthday Mtemi aliyepita, Walimuandalia boooooonge la Keki!, Sasa naona kwa Connections zao wanamtafuta Muzee, Muzee kuwa makini!.

Tangu lini kipindi ambacho huwa hakipokei maoni kutoka kwa hadhira, eti leo Muzee apige kutoa maoni yake na arushwe hewani?, bila shaka wazee wa connections za mujini walishaset mambo!

Ni wazi kuwa ule msemo wa all that is is done in darkness shall be revealed to light unatimia katika awamu hii, wale waliozoea kuishi kwa figisufigisu waache maana zama zimebadirika.
Huu ni ugonjwa mbaya sana unaokutafuna. Nilimsikiliza Rais akiongea kile ambacho watu wengi tunakipenda. Aliongelea uchambuzi mzuri wa magazeti, akawasifu watangazaji tena kwa majina yao na wala hakumtaja mmiliki wa kituo, akawakaribisha wake na waume wa watangazaji hao ili wakutane siku moja na akawataarifu wanavyompa faraja yeye na familia yake, akampa first lady simu na yeye akawasalimia kwa lugha ya unyenyekevu yenye lafudhi ya kisukuma na kuwaeleza wanavyowasilikiza kwa furaha. Rais pia alisema wapo watangazaji na waandishi wasiofanya vizuri ingawa wachache. Kwa fikira rahisi tu isiyohitaji darasa kama walilosoma akina Mwapachu wapenda uwaziri, Rais alionyesha upenzi wa kipindi na baadhi ya watangazaji binafsi anaopendelea kuwasikiliza.

Wewe, mwanaume mpenda sifa mtoto wa majungu unajidai shushushu unaunganisha vifundo au dot kama ulivyoviita! Ama kweli watu wa aina yako hawakosi sababu ya kujionyesha katika jamii kuwa wanajua mambo! Mrudie Mungu wako au kama huna imani hiyo mtafute Sangoma kama maji mafupi akuoshe maji ya bahari ya shamu kwa siku nane mfululizo utapona kabisa na milele amina!
 
Huu ni ugonjwa mbaya sana unaokutafuna. Nilimsikiliza Rais akiongea kile ambacho watu wengi tunakipenda. Aliongelea uchambuzi mzuri wa magazeti, akawasifu watangazaji tena kwa majina yao na wala hakumtaja mmiliki wa kituo, akawakaribisha wake na waume wa watangazaji hao ili wakutane siku moja na akawataarifu wanavyompa faraja yeye na familia yake, akampa first lady simu na yeye akawasalimia kwa lugha ya unyenyekevu yenye lafudhi ya kisukuma na kuwaeleza wanavyowasilikiza kwa furaha. Rais pia alisema wapo watangazaji na waandishi wasiofanya vizuri ingawa wachache. Kwa fikira rahisi tu isiyohitaji darasa kama walilosoma akina Mwapachu wapenda uwaziri, Rais alionyesha upenzi wa kipindi na baadhi ya watangazaji binafsi anaopendelea kuwasikiliza.

Wewe, mwanaume mpenda sifa mtoto wa majungu unajidai shushushu unaunganisha vifundo au dot kama ulivyoviita! Ama kweli watu wa aina yako hawakosi sababu ya kujionyesha katika jamii kuwa wanajua mambo! Mrudie Mungu wako au kama huna imani hiyo mtafute Sangoma kama maji mafupi akuoshe maji ya bahari ya shamu kwa siku nane mfululizo utapona kabisa na milele amina!

Wewe unadhani Muzee kakurupuka na kujipigia simu tu bila kuandaliwa Logistics na wapambe zake?.

Wewe unadhani waendesha kipindi walipokea simu kama " surprise" ?.

Muzee wa Msoga yeye Aliandaliwa Birthday Party nzimaaaaa!, Ila huyu hawawezi kumuingia kwa mtindo huo, Huyu wanamuingia kwa kumtengenezea airtime kwa sababu wamemsoma, wakajua anapenda media!, Naye ni mwanasiasa ati, kwake ni fursa!.

Lakini, kumbuka Maslahi ya Wasanii kwenye sheria ya kuwataka wenye vyombo vya TV na redio wawalipe wasanii kwa kucheza kazi zao. WATU HAPA WANATAFUTA NAMNA YA KUMUINGIA MUZEE ILI KUSHIKA MPINI WA JUU, ILI WAPATE NAMNA YA KUNUFAIKA WAO KIJANJA AT THE EXPENSE YA WASANII.

Ishu hapa siyo Muzee kupiga simu, Ishu ni. namna Muzee anavyotafutwa kijanja na kutengenezewa Mazingira ya Ukaribu na hao watu ili waendelee kupata priviledge kama walizokuwa wakipata kwa mstaafu.

Open your eyes wewe and connect some dots.
 
Juzi, Muzee kapiga simu katika kituo kimoja maarufu sana hapa jijini dar es salaam.
Wamiliki wa kituo hiki ni wadau wakubwa sana wa Muziki hapa nchini na kwa miaka mingi wamenufaika kwa jasho la wasanii.
Sasa serikali inataka WASANII walipwe kila muziki wao unavyopigwa, Wamiliki wa Kituo hiki inasemwa kuwa wao wanataka kushiriki Kwa mlango wa Nyuma kuanzisha Kampuni itakayokusanya pesa za wasanii kwa niaba yao. WANATAKA WAWE MONOPOLY
Hata hivyo baadhi ya wasanii inasemekana wanapinga hiyo kwa sababu hawana mechanism ya kuverify kuwa kilichokusanywa na kampuni X ndicho chenyewe.
Sasa naconnect dots, inasemekana uongozi wa Kituo hicho umehaha sana kumtafuta JPM bila mafanikio, hata hivyo sasa naona kwa kupitia connections zao JPM kaingizwa mkenge, tayari wamefanikiwa kujisogeza kwake.
Kitendo cha JPM kwenda hewani, kusifu kipindi kinachotengenezwa na kampuni hiyo, tayari ni dhahiri Wamefanikiwa kwa asilimia 90 sasa kuwa karibu na Muzee!. Kumbuka SERIKALI INATAKA WASANII WALIPWE KWA MIZIKI YAO KUCHEZWA katika TV na Redio, lakini bado tu kuna watu bado wanataka waendelee kula jasho la Wasanii kiujanja.

Kumbukeni Kampuni hii inayomiliki kituo hicho cha redio siyo mara ya kwanza kujipendekeza kwa Watawala, Hawa wamewahi Kumfanyia sherehe ya Birthday Mtemi aliyepita, Walimuandalia boooooonge la Keki!, Sasa naona kwa Connections zao wanamtafuta Muzee, Muzee kuwa makini!.

Tangu lini kipindi ambacho huwa hakipokei maoni kutoka kwa hadhira, eti leo Muzee apige kutoa maoni yake na arushwe hewani?, bila shaka wazee wa connections za mujini walishaset mambo!

Ni wazi kuwa ule msemo wa all that is is done in darkness shall be revealed to light unatimia katika awamu hii, wale waliozoea kuishi kwa figisufigisu waache maana zama zimebadirika.
Hawa majamaa ni chumia tumbo kwa kiasi kikubwa nakumbuka walivyo muingiza msanii chipukizi wakati huo na wakajinufaisha wao kupitia mkurugenzi wa hiyo kampuni,msanii huyo ni saida kalori
 
Mwanzilishi wa Clouds FM enzi zile hakuwa mwanafunzi bora kabisa shuleni. Alipata bahati ya kuwa na Familia inayomuunga mkono kuanzia Baba mzazi mpaka wadogo zake (dada zake). Alichojaliwa kaka huyu ni ule uwezo wa kutazama sehemu ambazo watu wengi hawapendi kuzitazama. Pia hakuwa kijana mwenye makuu wakati wa ujana wake. Wengi ambao ni wa umri wake waliendekeza starehe (ingawa na yeye warembo walijisogeza karibu yake sana tu), lakini yeye amekuwa ni mtu mwenye bahati ya kujua kuishi na watu, kujua kujichanganya na watu.

Watanzania wengi tukipata visenti kidogo tunaanza kuwa na mapozi ya kipumbavu, huo ni ugonjwa wetu. Lakini mmiliki wa Clouds entertainment aliweza kukwepa mtego wa majivuno, ambao umewanasa wale agemates wake, wengi walifariki enzi zile yale maradhi maarufu yalipokuwa ni adui mkubwa sana wa maisha ya vijana wa Tanzania. Kwa hiyo cha muhimu sio kutafuta sababu za kumtusi mtu bali ni kuangalia jinsi gani kila fursa inavyoweza kutumika vizuri.

Joseph Kusaga ni mmoja wa wale mabrother waliozaliwa miaka ya sitini mwishoni, ambao wanastahili kuandika vitabu ili viweze kuchangia katika kukuza kile kiburi cha kujiamini miongoni mwa vijana wadogo. Erick Shigongo anajitahidi sana katika kuwajengea vijana ule uwezo wa kujiamini lakini wanahitajika wengi zaidi ili nchi hii iweze kutambua kwamba majungu sio mtaji wa kudumu bali ni wa muda mfupi sana.
Yaani wewe kwa kupenda kulamba watu visigino unaongoza hapa tanzania
 
Yaani wewe kwa kupenda kulamba watu visigino unaongoza hapa tanzania
Wewe unataka niandike kuhusiana na nini haswa?, nikiandika siasa unanishambulia, nikiandika mambo haya ya kijamii bado unanishambulia....kijana unataka nisiandike chochote?....nimeongelea kitu ambacho ninakifahamu vizuri...ulitaka niongee nini haswa....
 
Back
Top Bottom