Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 51,989
- 23,500
Kuna mambo yanatokea watu wanakaa kimya inasikitishaa sana
Kuna mradii sijui wa nani yaan gari isiaribikee njian dk 😱 wako na breakdown wanavuta gariyako
Inasikitisha sana naamini manispaa mkooo mnajua hawaa watu ushauri tu waonywe waondoke kuna siku mtasikia mambo ya ajabu watanzania wakiwa kimya kwa mda wanapobadilika hamtoamini
Hujui thamaniii yagari unavuta kirahisi kabisaa
Hope mtabadikika manispaa
Kuna mradii sijui wa nani yaan gari isiaribikee njian dk 😱 wako na breakdown wanavuta gariyako
Inasikitisha sana naamini manispaa mkooo mnajua hawaa watu ushauri tu waonywe waondoke kuna siku mtasikia mambo ya ajabu watanzania wakiwa kimya kwa mda wanapobadilika hamtoamini
Hujui thamaniii yagari unavuta kirahisi kabisaa
Hope mtabadikika manispaa