Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 81,430
- 94,381
Kwanza yeye arudi kwao Zanzibar hatutaki kuongozwa na watu wa kujaWaziri wa Mambo ya ndani ya nchi Mh Hamad Masauni, amewaonya wale wote wanaoisema vibaya serikali ya awamu ya 6 Mitandaoni, ambapo ameliomba jeshi la polisi kuimarisha mifumo yake (ya utambuzii) kwa kushirikiana mamlaka zingine ili kukomesha jambo hilo.
Mh. Masauni amesema wanazo Taarifa kwamba kuna watu wameandaana makundi ya vijana waliopewa kazi ya kutukana serikali mitandaoni.
Mh. Waziri ameyasema hayo wakati wa kumkaribisha Mh. Rais Samia Suluhu Hassan ili kufungua kikao cha viongozi wa polisi mkoani Kilimanjaro.
Kazi Iendelee.