Kumbe nawewe ni kibaraka? twambie hapo kuna nini special zaidi ya majengo mapya? walimu wengi mmeazima toka UDSM kwa kigezo cha kuwapa uongozi wa idara nk na wakishindwa wanarudi.
Vyuo vikuu viko 3 tu UDSM, SUA na Muhimbili. Udom bado sanaaaa.
ubora wa chuo hupimwa pia kwa kuangalia teaching staff yake...for udom PhD staff ni less than 20% unategemea ni product gani itakayotoka hapo? mostly ni masters na tutorial assistants uzoefu watautolea wapi hata kama wana miundo mbinu bora zaidi! Tuwe wakweli udom ina safari ndefu sana ya kujiimarisha labda after 10yrs! 2007 nilipata nafasi ya kusoma information system science, sikwenda kwa kutambua ukweli huo..zaidi siasa nyingi kuliko taaluma........ mwanafunzi wa chuo anasimama dirishani kusikiliza lecture yet hamuoni tatizo........?
Mimi nipo UDOM ,nasoma BED (in arts), niliingia na division II ya pts10, advance nimesoma Ilboru (2011/2013) ....reference ACSEE 2013 S0110/0508
Me nimesoma UDOM na nimekuwa kiongozi wa UDOSO nina ifaham fika,wanaiponda udom ni,wanafunzi waliofukuzwa chuo kwa migomo,kundi la waliokosa nafasi za kazi hapo udom,waliodisco hapo hasa collage ya informatic and virtual education,na wafuasi wa chadema ambao wanataka kukwamisha juhudi za serikari.Nakalibisha maswali kama yapo
Niseme tu wazi mimi nimesoma UDSM, Ila sifurahishwi na jinsi ambavyo wahitimu wa udom wanavyopewa upendeleo ktk soko ajira kwasasa kuliko vyuo vingine au upendeleo?
Hivi karibuni nilikuwa nchini Botswana na Korea, nilibahatika kukutana na vijana wa Kitanzia wanaofanya kwenye mashirika ya USAID na UN respectively, kwenye maongezi yetu nikawahoji mmesoma vyuo gani wakasema Udom.
Nilishtuka sana maana sikutegemea chuo kipya kama hiki kinaweza kutoa graduates makini, wakaniambia tatizo Tz tumekariri kwamba kusoma chuo fulani basi wewe ndio unajua kumbe waajiri wanaangalia competency.
Pia juzi kulikuwa na interview ya kazi kwenye ofisi zetu katika vijana 24 waliokuwa shortlisted kwa ajiri ya Oral 9 walikuwa UDOM, 5 udsm, 5 SAUT, 3 IFM, MZUMBE 1, MUCCOBS 1, na waliofanikiwa kupata ajira na wanaripoti kazini jumatatu ni watano, udom 3, saut 1 na Muccobs 1.
Wale wazungu waliokuwa wakifanya interview walisifu sana uwezo wa vijana wa udom.
Pia nimesikia watu wakilalamika kuwa si kweli udom wapo vizuri bali wanapendelewa tuu ili kuuza jina la chuo, je haya madai ni ya kweli wadau?
Source: Mujumba, 2014
Kwa hiyo kila anayeandika mwaka na degree programme anayosoma ni dhahiri kadhibitisha kuwa yeye ni mwanachuo wa "UDOM"? Yaan hivi ndiyo umedhibitisha??
Okay wacha tuamini wewe ni mwanafunzi wa UDOM, rudi katika posti yako. Isome vizuri utagundua kuwa wewe ni mmoja wa wanaokifanya chuo kitajwe hivyo uonavyo!!
MARANGU,huo ndio ukwel,kitab kiko tait hiv,sap,carryover,disco njenje,af mtu anasema wanapewa alama!Inaleta hasira sana
Waache wapayuke wee mi nakula msuli nipo collage of earth science tukutane kwenye interview !!!!!!!