Wanaoiponda na kuidharau UDOM

Wanaoiponda na kuidharau UDOM

Mwanafunzi wa chuo kikuu au aliyesoma chuo kikuu hawezi leta mada iliyoandikwa kama ilivyoandikwa hii (tena akiwa anajaribu kutetea elimu inayotolewa na chuo chake). Mleta mada nawasiwasi kama wewe ni mwanachuo au uliwahi kuwa mwanachuo.
Lakini kama kweli wewe ni mwanachuo au uliwahi kuwa mwanachuo, nashawishika kuamini kuwa sio wa chuo ulichotaja (UDOM), isipokuwa unajitahidi kukichafua kwa kutumia "maudhui ya mada yako" na uandishi wako ambao ni "very poor".
Mwisho, ukitaka mada yako iwe tamu, dhibitisha kuwa "wewe ni mwanafunzi au uliwahi kuwa mwanafunzi wa UDOM"

Ni kweli kwamba wanaoleta mada hapa sio wanafunzi wa Udom wengi wanataka kupata umaharufu JF mfano ukitaka kuwa maalufu hapa TZ ichafue chadema,au ikosoe CCM,mfano dhahiri kwamba Wasichana wanaojiuza dodoma mjini wakiojiwa husema wanasoma udom ili kutaka kutoa taarifa ili alipwe,na kwa kuwa taharuma ya habari Tz bado ni changa na ineingiwa na siasa basi hupenda kuandika taarifa chafu,hivi inaingia akilini msomi kujiuza na kujitangaza?hata wa UDSM hujiuza na nina ushaidi kabisa na nipo karibu na chuo ila hawezi kujitangaza,nitoe wito Msomi usikubari kutumika kwa mtaji wa siasa unadharaulika sana
 
Me nimesoma UDOM na nimekuwa kiongozi wa UDOSO nina ifaham fika,wanaiponda udom ni,wanafunzi waliofukuzwa chuo kwa migomo,kundi la waliokosa nafasi za kazi hapo udom,waliodisco hapo hasa collage ya informatic and virtual education,na wafuasi wa chadema ambao wanataka kukwamisha juhudi za serikari.Nakalibisha maswali kama yapo

Hii nchi ndio maana inashindwa kuendelea kwa kasi inayotakiwa kwa sababu ya watu kama wewe, chadema wanaingiaje hapo?
 
Kuna Member kauliza maswala ya mikopo ya bodi na kwa nini udom ni tatizo,Jibu ni kwamba hakuna uhusiano mzuri kati ya bodi na chuo kwa lengo la kumuwezesha mwanachuo hata hivyo bodi pia hawana uhusiano mzuri na mwanafunzi bodi wamejisahau kwamba hizo pesa sio mali yao ni kodi za wananchi pia hizo pesa ni haki kwa mwanafunzi mwenye vigezo stahiki,kwa hapa nisiwe mnafiki kwamba kwa Tz japokuwa kuna wasomi wengi lakini Tatizo za Uongozi bora ni tatizo ambalo ni chanzo cha matatizo yote ndani ya Goverment institutions,nakaribisha maswali kama yapo nipo hapa kujibu hoja kuhusu udom karibu
 
Hii nchi ndio maana inashindwa kuendelea kwa kasi inayotakiwa kwa sababu ya watu kama wewe, chadema wanaingiaje hapo?

Kwa kuwa shughuri nyingi za kisiasa zinafanyika dodoma,viongozi na wabunge wanafanya udom kama mtaji wao wa kisiasa majimboni,kwa sababu za kiusalama wa viongozi wetu sitoweka hapa majina pamoja na strategic wanazotumia kuwapata hawo wasomi,nitoe wito kwa viongozi wa kisiasa Waache udom isonge mbele waache kuzolotesha juhudi za serikari
 
Mr. Mohamed Mohamed Mjahid, Head of depart
Mr. Nixon Mtonyole head department of
[h=1]Department of Telecommunications and Computer Networ[/h]Mr. Hector Mongi, Head of department

hao ni mifano tu ya wakuu wa idara, kama wakuu wa idara wote ma-Mr unategemea walimu watakuweje huko? usanii mtumpu.
[h=1][/h]

Hao maprofesa wa Udsm wamelisaidia nini taifa hili? Hata serikalini wanaoitwa Mawaziri mizigo wamesoma Udsm na SUA, sasa faida yao ni nini? Kuwa na elimu bora si razima uwe prof au Dr unaweza kuwa na Masters ukawa kichwa kuliko prof feki. TUNDU LISSU yuko vizuri kisheria je ni Prof? Usiishi kwa kupenda sifa kama watanzania wengine bila kutaja cheo hakuhudumii. Obama ni prof lakini hatajwi tajwi cheo kama wabongo walivyo malimbukeni.
 
huwa cpendi kubishana kuhusu maswala ya chuo gan kizuri kipi kibaya!!hakuna chuo ambacho hakina kasoro!kaka jiulize ni wanafunzi wangap ulosoma nao waliokuwa wakikuzidi uwezo darasan ila wapo udom!hata kama uliwazidi kwa div. mtihan wa mwisho wa necta a-level!!me nipo mwaka wa3 petroleum engineering udom na matokeo yangu mazuri 2!matatizo tulonayo hata wa vyuo vyengi wanayo tena wengine yanazidi!!shida za udom zipo hata vyuo vyengine! tz kuna vyuo 33 udom chuo cha 11!hebu tujiulize ni udom pekee ake ndo chenye matatizo yote mnayoyasema!!vp vyuo vilivyo chini ya udom acha tu vilivyo juu yake!unazungumziaje suala la wanafunzi kukosa pa kukaa lecture rooms,wengine mpaka wanasimama nje,vp library,walim je!naweza nikasema bora hata na udom interms of facilities kuliko vyuo vyengine!!hebu ifikiye wakat tusiongee tu bila ya kuwa na ushahidi!mtabaki mnaongeya na kusifiya vyuo vyenu wakat wengine wanaendeleya kupiga kitabu kwe hivyo vyuo mnavyovidharau!!tutakutana kwe interview na kazini inshallah ndo tutajuwa nani yupo bora kwa kuangaliya uwezo wake tu na c chuo anachotoka!!
 
me nadhan ifikiye wakat tuache watu waongee tu wapendavyo kuhusu udom!!wataongeya mwisho watanyamaza coz chuo kitaendeleya kubaki palepale na ckwamba kitabomoka! ila ipo cku watakuja kuona umuhim na ubora wa elim inayotolewa!!ushauri wangu kwa wanafunzi wa udom plzz hebu tusiumizwe wala kujickiya vibaya pindi watu wanapozusha maneno mabaya khs chuo chetu!tukaze na kusoma kwa bidii ili tukashindane kwe soko la ajira tz na dunia nzima kwa ujumla!
 
BALAKI,wahitim wa UDOM wanaheshimika makazin,UDOM ya sasa,ni bora ukilinganisha na vyuo ving TZ
 
Nimewahi shuhudia mwanafunzi wa Chuo fulani akiwatambia wenzake kwamba walifeli A level kisa wana div 3. Cha kushangaza jamaa alidisco baada ya kupata sup zaidi ya nusu ya course zake za mwaka.
Kuingia chuo na division one sio hoja, Hiyo one uliipata vipi? Hiyo three yeye aliipata vipi?
 
Me nimesoma UDOM na nimekuwa kiongozi wa UDOSO nina ifaham fika,wanaiponda udom ni,wanafunzi waliofukuzwa chuo kwa migomo,kundi la waliokosa nafasi za kazi hapo udom,waliodisco hapo hasa collage ya informatic and virtual education,na wafuasi wa chadema ambao wanataka kukwamisha juhudi za serikari.Nakalibisha maswali kama yapo

ubora wa chuo hupimwa pia kwa kuangalia teaching staff yake...for udom PhD staff ni less than 20% unategemea ni product gani itakayotoka hapo? mostly ni masters na tutorial assistants uzoefu watautolea wapi hata kama wana miundo mbinu bora zaidi! Tuwe wakweli udom ina safari ndefu sana ya kujiimarisha labda after 10yrs! 2007 nilipata nafasi ya kusoma information system science, sikwenda kwa kutambua ukweli huo..zaidi siasa nyingi kuliko taaluma........ mwanafunzi wa chuo anasimama dirishani kusikiliza lecture yet hamuoni tatizo........?
 
Narudia,waliodisco,wakafukuzwa,nawaliokosa ndo hawa wanaoponda udom,udom inakuwa kwa kas,wanaona wiv hawa.VIVA UDOM!
 
kumbe nawewe ni kibaraka? Twambie hapo kuna nini special zaidi ya majengo mapya? Walimu wengi mmeazima toka udsm kwa kigezo cha kuwapa uongozi wa idara nk na wakishindwa wanarudi.

Vyuo vikuu viko 3 tu udsm, sua na muhimbili. Udom bado sanaaaa.

mkuu ina maana hata chuo kikuu ardhibado sanaaa.
 
Yutong, unasema kwa kuwa baadh ya wakuu wa idara ni mr,hivo udom hamna kitu hapo,hoja nyepesiiii,Jenga hoja kama msomi
 
f2rk,usiongee vitu ambavyo huna uhakika,udom hatusikiliz lekcha dirishan,tunaziada ya madarasa,ziada ya hostel!
 
f2rk,profs & phd,kuwa chin ya 20%,ndo uongo tunaoukataa,umekalkulet vp,achen kuandika vit vya kubun
 
walimu wenyewe wanasomea china kuna kitu kweli hapo?


Yaani unasema waalimu ni YUTONG!

Nitamueleza huyo kiumbe anayeuliza maana ni sawa na anayesifia ubora wa DAR wakti hajawahi toka nje ya nchi. Ubora ni relative term.
 
mkuu ina maana hata chuo kikuu ardhibado sanaaa.

Ardhi ni na 4 niisahau, kinajitahidi sana. Kwanza kiikuwa china ya UDSM, UDSM hawana masihala mkuu huo ndo ukweli.
 
Yaani unasema waalimu ni YUTONG!

Nitamueleza huyo kiumbe anayeuliza maana ni sawa na anayesifia ubora wa DAR wakti hajawahi toka nje ya nchi. Ubora ni relative term.

Mkuu nchi aliyosoma mwalimu pia inamata kaka, Kama mtu kasomea Delft, Lund university, ama waliosoma urusi zamani acha kabisa. Na kama umefanya degree zako mimani basi wewe ni superior sana. Maana kazi ya mimani inajulikana wazi. wengi wamedisco pae na kwenda mzumbe wakatoka na first class.
 
c kweli kuwa wanafunzi wanackiliza lecture dirishan!udom kwa lecture rooms,library hakuna shida labda chuo unachosoma!khs phd na prof ni kweli hiv nikuulize unafaham udsm wakat inaanza ilikuwa na maprof wangap?udom ina kozi 74 BSc. Haiwezekani na haitatokeya chuo chochote kuanza kikiwa tayari na maprof na ma dr?ndo mana udom kwasasa kinasomesha sana staffs wake!na udom ya 2007 c kama ya sasa ina maprof. Na madr. Wengi kutoka nchi za nje ka russia na india!ukiachiliya mbali waliotoka masomoni!uwe unaongeya kwa evidences c o kuweka % zisizokuwa za ukweli!!
 
kumbe nawewe ni kibaraka?
Twambie hapo kuna nini special zaidi ya majengo mapya? Walimu wengi
mmeazima toka udsm kwa kigezo cha kuwapa uongozi wa idara nk na
wakishindwa wanarudi.

Vyuo vikuu viko 3 tu udsm, sua na muhimbili. Udom bado sanaaaa.
jipange upya kufikiri
 
Back
Top Bottom