Kumbe nawewe ni kibaraka? twambie hapo kuna nini special zaidi ya majengo mapya? walimu wengi mmeazima toka UDSM kwa kigezo cha kuwapa uongozi wa idara nk na wakishindwa wanarudi.
Vyuo vikuu viko 3 tu UDSM, SUA na Muhimbili. Udom bado sanaaaa.
Mwanafunzi wa chuo kikuu au aliyesoma chuo kikuu hawezi leta mada iliyoandikwa kama ilivyoandikwa hii (tena akiwa anajaribu kutetea elimu inayotolewa na chuo chake). Mleta mada nawasiwasi kama wewe ni mwanachuo au uliwahi kuwa mwanachuo.
Lakini kama kweli wewe ni mwanachuo au uliwahi kuwa mwanachuo, nashawishika kuamini kuwa sio wa chuo ulichotaja (UDOM), isipokuwa unajitahidi kukichafua kwa kutumia "maudhui ya mada yako" na uandishi wako ambao ni "very poor".
Mwisho, ukitaka mada yako iwe tamu, dhibitisha kuwa "wewe ni mwanafunzi au uliwahi kuwa mwanafunzi wa UDOM"
Me nimesoma UDOM na nimekuwa kiongozi wa UDOSO nina ifaham fika,wanaiponda udom ni,wanafunzi waliofukuzwa chuo kwa migomo,kundi la waliokosa nafasi za kazi hapo udom,waliodisco hapo hasa collage ya informatic and virtual education,na wafuasi wa chadema ambao wanataka kukwamisha juhudi za serikari.Nakalibisha maswali kama yapo
najua katk kuwaza kwako ndo kumepelekea ukaw na wasiwasi, yah mi nko UDOM naingia 3rd year na kozi nisomayo ni BED ADMAN( Bach of Ed in administration nd management).
Sema kingne nkujb.
Kwa hiyo kila anayeandika mwaka na degree programme anayosoma ni dhahiri kadhibitisha kuwa yeye ni mwanachuo wa "UDOM"? Yaan hivi ndiyo umedhibitisha??
Okay wacha tuamini wewe ni mwanafunzi wa UDOM, rudi katika posti yako. Isome vizuri utagundua kuwa wewe ni mmoja wa wanaokifanya chuo kitajwe hivyo uonavyo!!
UDOM ilidharalika kwa sababu ya kuchukua wanafunzi wenye grade za chini, komba komba
Sasa Chadema ndo wamekifanya chuo.kisiwe bora na shaka na elimu.yako hyo ndo point ya kuongea umeingza siasa sana zaidi ya uhalisia na ndio.mana chuo konazidi kudharaulika mkipewa criticism mnasingizia siasa haya ndo majanga ndo mana Tanzania majority wana low IQ
""not everyone can be a great person,bt great people can come from anywhere....u can be the best no matter where you are......""
UDOM au UDSM ni nn kama mtu mwenywe haujali, haujielewi n.k.. mleta uzi ZINDUKA
Henry clement,tulishawajua nyie,na wenzako akina sijui nn sr,niny c wanafunz wa udom,wababaishaj fulan hiv,
Henry clement,kama uko udom huwez andika uz hivo,bcz ungethibitisha kutokuwepo kwa hayo uliyoyaandika,ambao ndo ukwel.
Henry clement,ww kama uko udom unashindwa nn kupinga au kukubali mapunguf haya,et umebak neutral,ajab kwel.Heb jieshimu