Ryio
Member
- Dec 5, 2013
- 80
- 11
Jaman wakuu nmekuw nkiwaza san hili suala la wa2 kuiponda UDOM kw mda mref, coz utackia ooh mara hamna cjui;
1. Maji hakuna
2. Walimu vilaza
3. Wanafeli sana
4. Chuo cha CCM
5. Vilaza
6. Wanafunzi wanapewa alama bure
7. Wanajiuza
8. Chuo cha kata
Huwa sielewi kabisa japo nipo hapa UDOM , naomb mwenye mawazo ya hekima na uelewa wa " KWANINi MAWE YOTE HAYA NI KWA UDOM TU?
1. Maji hakuna
2. Walimu vilaza
3. Wanafeli sana
4. Chuo cha CCM
5. Vilaza
6. Wanafunzi wanapewa alama bure
7. Wanajiuza
8. Chuo cha kata
Huwa sielewi kabisa japo nipo hapa UDOM , naomb mwenye mawazo ya hekima na uelewa wa " KWANINi MAWE YOTE HAYA NI KWA UDOM TU?