Wanaoifahamu Nsumba Boys iliyoko Mwanza!

Mkuu shule ipo Mwanza Nsumba-Nyegezi mkabala na SAUT Ni Shule Nzuri tu ni ya bweni wavulana tu kwa mazingira Japo changamoto hazikosekani Jamaa wanapiga sana advance kwa mkoa wa Mwanza!!! Japo sijawahi kusoma kabisa Hapo....
 
Dogo nsumba boys ni shule nzuri sana ila ubaya wake ina pakana na chuo cha sauti so kama wewe hujakuwa ki akili yaani shule utaona nuksi tuu maana vi sketi vipo vingi aseeeeee na pia ipo kilomita 0 na shule ya wasichana NGANZA GIRLS high school aseeeeee kama hujakuwa ki akili utaondoka na yai vinza so ukienda nsumba chunga sana hao viumbe na kaa nao kwa distance ya 1000 kilometer apart maana wapo shazii na pia wana poteza concentration ya kusoma ...,jiwekee moyoni baada ya kumaliza form 6 ACSEE NECTA UTAWAKUTA TUU MTAANI ULIPO TOKA..,pia usome sana
 
Dogo nsumba boys ni shule nzuri sana ila ubaya wake ina pakana na chuo cha sauti so kama wewe hujakuwa ki akili yaani shule utaona nuksi tuu maana vi sketi vipo vingi aseeeeee na pia ipo kilomita 0 na shule ya wasichana NGANZA GIRLS high school aseeeeee kama hujakuwa ki akili utaondoka na yai vinza so ukienda nsumba chunga sana hao viumbe na kaa nao kwa distance ya 1000 kilometer apart maana wapo shazii na pia wana poteza concentration ya kusoma ...,jiwekee moyoni baada ya kumaliza form 6 ACSEE NECTA UTAWAKUTA TUU MTAANI ULIPO TOKA..,pia usome sana
Asante bro
 
Wana Nsumba kumbe mpo wengi!
Ebu tafuteni uzi wa NSUMBA SEC upo humu tuendeleze kujikumbusha mambo mbalimbali, uzi umeanzishwa kitambo sana lakini nashangaa bado upo kidogo sana utadhani wanansumba hawapo humu JF.

Kwa kufanya hivyo itakuwa rahisi mtu kupata picha halisi ya shule yetu kwa urahisi akihitaji.
 
Habari wana jamii, ninahitaji kuifahamu vyema shule ya Nsumba.
Nahitaji dondoo za mazingira, ufundishaji, na zamu.
Dogo hongera sana kwa kutaka kuhamia NSUMBA, ukifika umsalimie Samweli(mpishi mkuu) na Mr. Zakeo(HM).

Kwanza dogo unaenda kusoma comb gani?.

Nsumba ni shule nzuri sana kwa kupiga msuli na hatimae kufikia ndoto zako za kufika chuo, kama unaenda kwa comb ya Arts hapo ni fulu bata, lakini kama ni wazee wa Phyz, bioz, chemia hapo lazima utoboe ndio kieleweke.
Mazingira yako safi sana pembezoni mwa Kitintale yaani fulu vivuli na miti yake mingi kwa kusoma sehemu yoyote ukipenda hasa mida ya kuanzia jioni baada ya kutoka kuchop magogo ya kupikia kwa mashoka mabutu utadhani wafungwa wa Butimba au Segerea. Hapo utaimarika kiafya maana utakuwa umepata mazoezi tosha.

Mengine utayajua huko dogo hatuwezi kukuambia kila kitu.
We nenda tu hata mimi nilienda bila kuambiwa chochote zaidi ya jina lakini niliweza kuadopt na nikasavaivu kwa miaka kadhaa hatimaye nipo somewhere now.
Kapige msuli dogo kumbuka upepo wa Magu saiv hausomeki unakoelekea kwa hiyo kajijenge vizuri kukabiliana na changamoto za baadae mbeleni.
 
Dogo hongera sana kwa kutaka kuhamia NSUMBA, ukifika umsalimie Samweli(mpishi mkuu) na Mr. Zakeo(HM).

Kwanza dogo unaenda kusoma comb gani?.

Nsumba ni shule nzuri sana kwa kupiga msuli na hatimae kufikia ndoto zako za kufika chuo, kama unaenda kwa comb ya Arts hapo ni fulu bata, lakini kama ni wazee wa Phyz, bioz, chemia hapo lazima utoboe ndio kieleweke.
Mazingira yako safi sana pembezoni mwa Kitintale yaani fulu vivuli na miti yake mingi kwa kusoma sehemu yoyote ukipenda hasa mida ya kuanzia jioni baada ya kutoka kuchop magogo ya kupikia kwa mashoka mabutu utadhani wafungwa wa Butimba au Segerea. Hapo utaimarika kiafya maana utakuwa umepata mazoezi tosha.

Mengine utayajua huko dogo hatuwezi kukuambia kila kitu.
We nenda tu hata mimi nilienda bila kuambiwa chochote zaidi ya jina lakini niliweza kuadopt na nikasavaivu kwa miaka kadhaa hatimaye nipo somewhere now.
Kapige msuli dogo kumbuka upepo wa Magu saiv hausomeki unakoelekea kwa hiyo kajijenge vizuri kukabiliana na changamoto za baadae mbeleni.
Asante na salamu nitazifikisha ila ntaenda PCB
 
Kakomae dogo, hiyo comb nimeisoma mimi haihitaji mchezo kabisa.
Ukiiweza tu maeneo fulani utachomoka rahisi sana, na kwenda kupiga MD yako safi tu Chuo unachotaka
Usijali kukomaa lazima maana life halina mzaha
 
Back
Top Bottom