Nadu
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 263
- 212
Gharama za kupima na kuchimba tafadhali.
Maji yakikosekana tunafanyaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Maji yakikosekana tunafanyaje
Sent using Jamii Forums mobile app
mita 100 mpaka 120Gharama kwa Mita ni kiasi gani?
Water table ya morogoro/kiegea ni mita ngapi?
kabla ya kuchimba kuna vipimo mkuuGharama za kupima na kuchimba tafadhali.
Maji yakikosekana tunafanyaje
Sent using Jamii Forums mobile app
mita mnachimba kwa kiasi gani?
tunachimba 80,000 full instalationmita mnachimba kwa kiasi gani?
Mkichimba hizo mita 120 maji yakakosekanatunachimba 80,000 full instalation
kama ni kuchimba tu mita tunachaji 60,000
Sent using Jamii Forums mobile app
narudia tena kuna vipimo vya maji scana hii inafanywa kabla ya kuanza kuchimba kisima na mteja ndo analipia gharama hizi kama eneo ni tata basi scana itatoa majibu mapema kama eneo ni kavu pasipo poteza gharama maisha ya sasa sio ya zamani mkuu kila kitu kubahatisha sasa hivi hakuna hii na haijawahi kutokea ila huwa inatokeaga ila pia inategemea na mtafiti alietumika kwamba elimu ya kitafuti ipo na uzoefu pia wa dataMkichimba hizo mita 120 maji yakakosekana
Ikabidi muongeze urefu,hizo mita zinazozidi nani atalipia?
ikatokea mkachimba kabisa eneo langu mkakosa maji mnafanyaje?
narudia tena kuna vipimo vya maji scana hii inafanywa kabla ya kuanza kuchimba kisima na mteja ndo analipia gharama hizi kama eneo ni tata basi scana itatoa majibu mapema kama eneo ni kavu pasipo poteza gharama maisha ya sasa sio ya zamani mkuu kila kitu kubahatisha sasa hivi hakuna hii na haijawahi kutokea ila huwa inatokeaga ila pia inategemea na mtafiti alietumika kwamba elimu ya kitafuti ipo na uzoefu pia wa data
Sent using Jamii Forums mobile app
gharama ya scana ni yako mkuu1. Gharama za scana ni za Nani?
2. Je scana inatambua umbali wa water table?
3. je Kuna discount?
Sent using Jamii Forums mobile app
i hope you are my neighbour.Gharama kwa Mita ni kiasi gani?
Water table ya morogoro/kiegea ni mita ngapi?
Gharama ya scana bei gani? Kwa Maeneo ya mbezi ya msumigharama ya scana ni yako mkuu
data report itaonesha kila kitu tabaka zote zilizopo chini mpaka kuyafikia maji
Sent using Jamii Forums mobile app
Mita 100 ni kubwa sana sanaaaaa kwa kisima cha matumizi ya nyumbani wazeeeeLabda ukute mi sjui mita n umbali gali mfano mita 100 si sawa na kiwanja Cha mpira wa miguu afu umesema mkoani ni kwa 80k in 1 meter ina maana mita 100 ni sawa na 8m alafu uko uko mkoani mbeya maeneo ya sae ituha kisima tmechimba mita 100 for only 2.5m io ghalama ni kwa uchimbaji tu Apo nje na matengenezo mengine ukijumlsha na mashine za kupump maji sijui tank ufundi nk ilkamilika only 4m na ushee na ni less than 8 million ulioitaja mnatofautiana vipi bei zenu
Sent using Jamii Forums mobile app
We will "i hope so"i hope you are my neighbour.