Wanaohitaji kuchimbiwa visima vya maji tuonane hapa

Wanaohitaji kuchimbiwa visima vya maji tuonane hapa

wapi mkuu unaweza toa maoni pia tukathibitisha pia kwa data tulizowahi fanyia kazi eneo husika

Sent using Jamii Forums mobile app
Why inakuwa general kuwa baadhi ya sehemu kuwe meter kadhaa let say 80-100 wakati water table inaathiriwa na mambo mengi ikiwemo hali/ msimu wa mvua na aina ya miamba. Kwa hiyo unataka kusema wilaya nzima iwe na makadirio sawa wakati tunajua kuna maeneo yanaweza kuwa na meter chache na nyie mkaweka nyingi ili mpige hela!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Why inakuwa general kuwa baadhi ya sehemu kuwe meter kadhaa let say 80-100 wakati water table inaathiriwa na mambo mengi ikiwemo hali/ msimu wa mvua na aina ya miamba. Kwa hiyo unataka kusema wilaya nzima iwe na makadirio sawa wakati tunajua kuna maeneo yanaweza kuwa na meter chache na nyie mkaweka nyingi ili mpige hela!

Sent using Jamii Forums mobile app
hapana kitaalamu kwamba eneo lenye mfumo wa miamba migumu DTH formed namaanisha unaweza kuta umefanya survey na survey ikaonesha maji yanapatikana urefu wa mita 150 kwenda chini japokuwa mita ni 150 lakini unaweza pata maji 80 lakini yakawa si mengi kwahiyo unapomaliza kuchimba 150 zote inamaana utakuwa umetengeneza storage ya kutosha kama kwenye mita 80 ulitakiwa upate lita 3000 kwa lisaa basi kwenye mita 150 unaweza pata lita 7000 kwa lisaa unaweza chimba kisima cha mita 150 lakini ukapata mikondo 2 au 3 tu ndo yenye maji na mikondo hii unaweza ipata chini kabisa au mwanzo kabisa kwenda chini sana pia si kupata maji maana ata chini pia kuna ukame pia namaanisha DRY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hapana kitaalamu kwamba eneo lenye mfumo wa miamba migumu DTH formed namaanisha unaweza kuta umefanya survey na survey ikaonesha maji yanapatikana urefu wa mita 150 kwenda chini japokuwa mita ni 150 lakini unaweza pata maji 80 lakini yakawa si mengi kwahiyo unapomaliza kuchimba 150 zote inamaana utakuwa umetengeneza storage ya kutosha kama kwenye mita 80 ulitakiwa upate lita 3000 kwa lisaa basi kwenye mita 150 unaweza pata lita 7000 kwa lisaa unaweza chimba kisima cha mita 150 lakini ukapata mikondo 2 au 3 tu ndo yenye maji na mikondo hii unaweza ipata chini kabisa au mwanzo kabisa kwenda chini sana pia si kupata maji maana ata chini pia kuna ukame pia namaanisha DRY

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo endapo mteja mmemwambia water table ni m.120 halafu maji mengi yakapatikana around 90m hamuoni kuwa mmetengeneza upigaji?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Why inakuwa general kuwa baadhi ya sehemu kuwe meter kadhaa let say 80-100 wakati water table inaathiriwa na mambo mengi ikiwemo hali/ msimu wa mvua na aina ya miamba. Kwa hiyo unataka kusema wilaya nzima iwe na makadirio sawa wakati tunajua kuna maeneo yanaweza kuwa na meter chache na nyie mkaweka nyingi ili mpige hela!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo endapo mteja mmemwambia water table ni m.120 halafu maji mengi yakapatikana around 90m hamuoni kuwa mmetengeneza upigaji?

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh mkuu wewe unawaza kupigwa tu, si ununue mashine yako ujichimbie mwenyewe kisima chako cha mita 10 upate maji?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msaada wadau,tunatafuta wateja wanaohitaji kuchimbiwa visima vya maji kwa kutumia mashine za kisasa zenye uwezo wa kuchimba mpaka mita 600

Atakayeleta mteja ana asilimia zake

Mawasiliano yetu

0762484200 - Voda
0627431955


Ofisi zetu zipo:
Dar posta mpya
Dodoma mjini barabara ya kumi

FB_IMG_1582288816214.jpeg
FB_IMG_1582288882415.jpeg
IMG_20200203_173346_156.jpeg
IMG_20200124_122329_020.jpeg
IMG_20200123_215143_591.jpeg
IMG_20200116_104836_896.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Subiri watakuja mzee.
Tena watajileta wenyewe ili wakupe kazi na hapo hapo uwape percentage yao ya kujileta ☺
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom