Jibu ni B,Ila pia tukumbuke kutengwa kwa vyama vingine vya upinzani kuunda kambi ya upinzani kumewafanya wafuasii wa mbowe walioko bungen kutafuta umaarufu.kushindwa kufuata utaratibu na kuheshim kiti c hekima,hata kama haki inakosekana ni vyema kufuata utaratibu.Hv sasa kikao cha bunge kinazidiwa na kikao cha darasa tena la nne.
Kila sehemu sasa, ni mazungumzo ya Bunge na Utovu wa Nidhamu...
Kila mtu anazungumza...
Hata hapa mengi sasa ni kuhusu Bunge..
Wanaoharibu sasa ni kina nani?
A. Spika na Naibu Spika
B. Wabunge wa Upinzani
C. Wabunge wa CCM
D. Wote
Tungepata Poll hapa ingependeza zaidi...
Nchi sasa inalijadili Bunge...
Kukandamizwa vipi kicameroun au?Sidhani kama mtu kukataa kukandamizwa ni kutafuta sifa...
Kukandamizwa vipi kicameroun au?
Kila sehemu sasa, ni mazungumzo ya Bunge na Utovu wa Nidhamu...
Kila mtu anazungumza...
Hata hapa mengi sasa ni kuhusu Bunge..
Wanaoharibu sasa ni kina nani?
A. Spika na Naibu Spika
B. Wabunge wa Upinzani
C. Wabunge wa CCM
D. Wote
Tungepata Poll hapa ingependeza zaidi...
Nchi sasa inalijadili Bunge...