Wabunge na viongozi wa bunge wasio na uchungu na umasikini ujinga na maradhi ya watanzania,wasiojiamini na waliopewa uongozi kama zawadi!!
mtu mwenye dira na malengo ni mwenye ujasiri hekima akili mvumilivu na mwenye kutetea hoja za kitaifa badala kuwa shabiki tu wa mambo au watu fulani huyu ni mnafiki na mvivu na hatari sana kwani agenda yake ni kumfurahisha tu yule aliyemzawadia cheo au ubunge!!!
Nachukizwa sana na watu wa namna hii na ni 85% ya viongozi wetu.
Namfagilia sana Marehemu Sokoine pamoja na kuwa alikuwa elimu ndogo lakini alisimamia maamuzi yake
Tehe tehe!! mimi bado nahisi tatizo ni Wabunge wa upinzani ndiyo wanaoharibu Bunge letu na ninaamini tukiwang,oa meno na kuwatupa Mabwe pande ukimya utarudi tena Bungeni.....lol
Kila sehemu sasa, ni mazungumzo ya Bunge na Utovu wa Nidhamu...
Kila mtu anazungumza...
Hata hapa mengi sasa ni kuhusu Bunge..
Wanaoharibu sasa ni kina nani?
A. Spika na Naibu Spika
B. Wabunge wa Upinzani
C. Wabunge wa CCM
D. Wote
Tungepata Poll hapa ingependeza zaidi...
Nchi sasa inalijadili Bunge...
hakika kuna ukikukaji wa sheria na kanuni za bunge haswa pale upinzani wanapojaribu kutetea maslahi ya wananchi kama tukio la juzi ni ubabe na jazba za naibu spika hivi ni sheria gani inamkataza mbunge asiombe mwongozo zaid ya mara 20
?
Chadema wanaharibu Bunge.
Mbowe kashindwa kuongoza upinzani.
Wabunge wa chadema wanajiendea tu kama mbuzi wa Vingunguti wasio na mchungaji.
Hamad Rashid aliongoza vizuri zaidi upinzani Bungeni katika Bunge la tisa.
Chadema wanaharibu Bunge.
Mbowe kashindwa kuongoza upinzani.
Wabunge wa chadema wanajiendea tu kama mbuzi wa Vingunguti wasio na mchungaji.
Hamad Rashid aliongoza vizuri zaidi upinzani Bungeni katika Bunge la tisa.
Chadema wanaharibu Bunge.
Mbowe kashindwa kuongoza upinzani.
Wabunge wa chadema wanajiendea tu kama mbuzi wa Vingunguti wasio na mchungaji.
Hamad Rashid aliongoza vizuri zaidi upinzani Bungeni katika Bunge la tisa.