mjombajona
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 262
- 50
Mimi nimejiunga na shindano la PROMO linaloendeshwa na Vodacom kampuni ya simu za mkononi na ninazo point zaidi ya
milioni mbili.
Mwanzoni tulikuwa tunaenda nao vizuri lakini toka walipoongeza kinyemela kila sms ya swali gharama kuwa shs 300 badala ya 200 na wizi ukaanzia hapo hapo.
Utakuta mtu una jaza vocha za kutosha kujibu maswali sms hata 15, lakini ghafla ukijibu maswali kumi meseji haziendi tena yaani ndo umeliwa vocha zako zimekwisha. Hasira hunipanda hasa kwa kuwa huwa sielewi query kama hii niipeleke wapi kwani huku mikoani hawa watu wana mawakala tu wasiojua chochote kuhusu hilo, labda makao makuu.
Msaada wana JF namna ya submit query vodacom kwani nikipiga hata hiyo namba 100 huwa sifanikiwi kuwapata baada ya pale wanaposema kwa tatizo fulani bonyeza namba fulani.
milioni mbili.
Mwanzoni tulikuwa tunaenda nao vizuri lakini toka walipoongeza kinyemela kila sms ya swali gharama kuwa shs 300 badala ya 200 na wizi ukaanzia hapo hapo.
Utakuta mtu una jaza vocha za kutosha kujibu maswali sms hata 15, lakini ghafla ukijibu maswali kumi meseji haziendi tena yaani ndo umeliwa vocha zako zimekwisha. Hasira hunipanda hasa kwa kuwa huwa sielewi query kama hii niipeleke wapi kwani huku mikoani hawa watu wana mawakala tu wasiojua chochote kuhusu hilo, labda makao makuu.
Msaada wana JF namna ya submit query vodacom kwani nikipiga hata hiyo namba 100 huwa sifanikiwi kuwapata baada ya pale wanaposema kwa tatizo fulani bonyeza namba fulani.