Nukta5
JF-Expert Member
- Jun 7, 2014
- 1,180
- 1,276
Leo nimenunua salio nikaweka kwenye Vodacom nataka kujiunga kifurushi nikitakacho nashangaa naletewa sms kwamba salio langu halitoshi, nikapiga kuwauliza wananiambia nisubiri baada ya lisaa limoja nipige tena, kupiga wananiambia system yao inaonyesha kuna huduma nimejiunga nikawaeleza siijui hiyo huduma wala sijawahi kujiunga wala sitakaa nijiunge nayo wanasema system ndo inaonyesha hivyo so hapo inamaana ili niweze kujiunga tena inabidi niweke salio maana wanakata let say sh. 100 hapo ili kuifidia inamaana niweke sh. 500 na ikibaki sh.400 hakuna kifurushi cha 400 so wanaila bila huduma yoyote.
Nikaamua tena kununua vocha ya TIGO wakanikata tena kuuliza wananiambia nisubiri baada ya masaa 24 wajue kwa nin imekatwa sasa usumbufu wote wa kusubiria masaa 24 kwa nini TCRA msiingilie kati hii mitandao nafikiri inaingiza hela nyingi sana kwa kuumiza wateja pasipo TCRA kujua.
TCRA tafadhali naomba muwapige fine nyingine VODACOM na TIGO kwa kuwadhulumu wateja
Nikaamua tena kununua vocha ya TIGO wakanikata tena kuuliza wananiambia nisubiri baada ya masaa 24 wajue kwa nin imekatwa sasa usumbufu wote wa kusubiria masaa 24 kwa nini TCRA msiingilie kati hii mitandao nafikiri inaingiza hela nyingi sana kwa kuumiza wateja pasipo TCRA kujua.
TCRA tafadhali naomba muwapige fine nyingine VODACOM na TIGO kwa kuwadhulumu wateja