Wanansheria au so called advocates

Wanansheria au so called advocates

Lekakui

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,451
Reaction score
589
Ndugu wana JF,
katika kupita pita kwangu nimegundua mambo mengi sana kuhusu hawa watu,kwanza wakiwa wanafanya kesi huwa zinachukua muda mrefu sana hadi kuja kuisha ndo wapate malipo,lakini cha kushangaza hawa watu wana hela za ajabu,kuna vijana wameanza tu juzi juzi leo ukiwaona wanatembelea magari ya bei ya ajabu kabisa,hivi for curiosity purposes hawa sio ndo vinara wa HILI JANGA tulilo nalo kwa sasa?embu naombeni maoni yenu
 
Hivi sasa wapo wanasheria wengi wanaosimamia kesi za ardhi na jinai; huko ndiko kwenye pesa mkuu!
 
Acha uongo. Mwanasheria hasubiri kesi iishe ndiyo alipwe. Analipwa kila akienda kutetea kesi
 
ukiwa hujui ni bora kuuliza ukajibiwa......
 
Law is among the noble professionals bro!!don't be scared for them to make some money cuz they don't get it for granted.
 
Wacha wivu wa kike fanya kazi.
"Success goes to those who bear to act"
 
mwanasheria hategemei kesi peke yake
kuna kuandaa na kusain mikataba
kuna wale wenye wateja wa kudumu kama banks na mashirika binafsi wao hulipwa kila mwezi(retainer clients?
kunakusign viapo, kuna kufanya kazi za consultancy nk.
 
Mwanasheria hulipwa kabla ya kesi thats the practice, kwa maana ukisema ulipwe mwisho mteja atasepa bila ya kulipa
 
Ndugu wana JF,
katika kupita pita kwangu nimegundua mambo mengi sana kuhusu hawa watu,kwanza wakiwa wanafanya kesi huwa zinachukua muda mrefu sana hadi kuja kuisha ndo wapate malipo,lakini cha kushangaza hawa watu wana hela za ajabu,kuna vijana wameanza tu juzi juzi leo ukiwaona wanatembelea magari ya bei ya ajabu kabisa,hivi for curiosity purposeshawa sio ndo vinara wa HILI JANGA tulilo nalo kwa sasa?embu naombeni maoni yenu


Ni kweli Kabisa, NCHI hii isingefika hapa Kama Mawakili binafsi wasingedanganya KWENYE EPA, Richmond just to mention but a few
 
Duh
Hii mada tata
Nadhani majibu mliyompa huenda yakamtosheleza

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom