Bambanza jr. JF-Expert Member Joined Aug 6, 2011 Posts 355 Reaction score 36 Oct 25, 2011 #2 Ha! Ha! Ha! Iyo ya kwanza nimeipenda,
mysteryman JF-Expert Member Joined Aug 4, 2011 Posts 1,080 Reaction score 393 Oct 25, 2011 #3 Hahahaha dah hiyo ya pili ni dawa tosha aisee
Rosweeter JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 1,172 Reaction score 4,435 Oct 25, 2011 #4 Tehe tehe tehe teheeeeeeeeeeeeee................................ hiyo ya kwanza imetulia mzee
Q Qsm JF-Expert Member Joined Dec 11, 2008 Posts 450 Reaction score 263 Oct 25, 2011 #5 Mhhh makubwa:hatari:
V valid statement JF-Expert Member Joined Sep 18, 2011 Posts 2,855 Reaction score 889 Oct 25, 2011 #6 dah, zote kali!
W WARREN Member Joined Apr 4, 2011 Posts 17 Reaction score 6 Oct 25, 2011 #7 mbaya sanaaaaaaa! Ooooh God wasaidie wanandoa wasichokane!
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,701 Reaction score 13,671 Oct 25, 2011 #8 Zote kali 1 na 2.
NYENJENKURU JF-Expert Member Joined Feb 11, 2011 Posts 1,067 Reaction score 299 Oct 25, 2011 #10 Zote safi sana .Lakini yataka moyo kufanya hivyo.
feis buku JF-Expert Member Joined Aug 29, 2011 Posts 2,341 Reaction score 677 Oct 25, 2011 #11 mmh! ntaiweka wapi sura yangu ikifikia hivi!!
HorsePower JF-Expert Member Joined Aug 22, 2008 Posts 3,612 Reaction score 2,569 Oct 25, 2011 #12 Mweee,sina cha kuchangia!
chapaa JF-Expert Member Joined Feb 19, 2008 Posts 2,349 Reaction score 206 Oct 26, 2011 #13 Ndo ushachokwa hivo feis buku said: mmh! ntaiweka wapi sura yangu ikifikia hivi!! Click to expand...
ladyfurahia JF-Expert Member Joined May 10, 2011 Posts 14,758 Reaction score 9,589 Oct 26, 2011 #14 Jamani mwenzenu sijapenda hata moja
Bishop Hiluka JF-Expert Member Joined Aug 12, 2011 Posts 7,147 Reaction score 14,708 Oct 26, 2011 #15 mh, makubwa...
Q Qsm JF-Expert Member Joined Dec 11, 2008 Posts 450 Reaction score 263 Oct 26, 2011 #16 Kwa maana hiyo tunaochokwa ni wanawake tu! ngoja nitafute za wanaume
AMINATA 9 JF-Expert Member Joined Aug 6, 2011 Posts 2,120 Reaction score 642 Oct 26, 2011 #17 ahahahaaaaaaaaaaaaaaaaa ama kweli hakuna marefu yasiyokua na ncha
MAMMAMIA JF-Expert Member Joined Feb 26, 2008 Posts 3,811 Reaction score 1,607 Oct 26, 2011 #18 Kwa nini wanasubiri mpaka kufikia huko? Mkichokana na kama hakuna kurudi nyuma, kila mmoja aelekee upande wake, salama u salimini.
Kwa nini wanasubiri mpaka kufikia huko? Mkichokana na kama hakuna kurudi nyuma, kila mmoja aelekee upande wake, salama u salimini.
Ngalikihinja JF-Expert Member Joined Sep 1, 2009 Posts 34,637 Reaction score 37,959 Oct 26, 2011 #19 Yaani hiyo ya tatu (ya kisu) ndo sijaielewa kabisaa...... yaani wamechokana siku ya kufunga ndoa........... OMG
Yaani hiyo ya tatu (ya kisu) ndo sijaielewa kabisaa...... yaani wamechokana siku ya kufunga ndoa........... OMG
Likwanda JF-Expert Member Joined Jun 16, 2011 Posts 3,926 Reaction score 1,159 Oct 26, 2011 #20 Hiyo ya kwanza lazima usikie paaa!