kuna elements za ukweli na hii ni outcome ya moral degradation inayotokana na mfumo mzima tunaoishi nao... si ndoa tu, uadilifu haupo kwenye nyumba za ibada, makazini, kwenye biashara na hata ndani ya familia (mambo ya kawaida tu)Wana JF,
Last week kipindi cha Jahazi - Clouds FM walitangaza au walisema kuwa wanandoa wanao tembea nje ya ndoa zao kwa wanaume ni 70%(hutoka nje ya ndoa) na kwa wanawake ni 60%(hutoka nje ya ndoa), kwa utafiti huo kwa wanandoa/na ambao hamja ingia kwenye ndoa mnakubaliana na huo utafiti au muna mawazo/mtazamo tofauti?
My Take:
Utafiti huo una ukweli, kwangu me naamini hivyo.
wangeanza na utafiti wa umasikini na umbumbumbu wa viongozi wetu....
kama walikosa kazi ya kufanya........
nani ana lala na nani sio jambo la muhimu saana kama watu hao ni watu wazima na hakuna sheria zinazovunjwa
Wana JF,
Last week kipindi cha Jahazi - Clouds FM walitangaza au walisema kuwa wanandoa wanao tembea nje ya ndoa zao kwa wanaume ni 70%(hutoka nje ya ndoa) na kwa wanawake ni 60%(hutoka nje ya ndoa), kwa utafiti huo kwa wanandoa/na ambao hamja ingia kwenye ndoa mnakubaliana na huo utafiti au muna mawazo/mtazamo tofauti?
My Take:
Utafiti huo una ukweli, kwangu me naamini hivyo.
wangeanza na utafiti wa umasikini na umbumbumbu wa viongozi wetu....
kama walikosa kazi ya kufanya........
nani ana lala na nani sio jambo la muhimu saana kama watu hao ni watu wazima na hakuna sheria zinazovunjwa
The Boss!!!!
Khaaaaa ndugu hata leo siku ya Jpili twaongelea mambo ya kifamy wewe ume komaaaa tu kwenye mambo ya uongozi which means Politics ina ku affect kiasigani siju,
We just give us your opinion hapo usitupleke huko kwenye tofauti uzizaniazo,
Au wewe mwambatao anatoka nje au wewe ndie super star wa kula shambaz huko nje???
kuna elements za ukweli na hii ni outcome ya moral degradation inayotokana na mfumo mzima tunaoishi nao... si ndoa tu, uadilifu haupo kwenye nyumba za ibada, makazini, kwenye biashara na hata ndani ya familia (mambo ya kawaida tu)
Umaskini na umbumbumbu pia huchangia hali tuliyopo
IN SHORT I WOULD SAY, TANZANIA IS A FRUSTRATED SOCIETY
Nilicho ongea actually kinahusu moja kwa moja..
ukimsoma mtm hapo juu,tuna tatizo la jamii kwa ujumla ambalo
chanzo ni uongozi mbovu,so unasababisha frustration kwa wananchi..
na mambo kama hayo ya kutoka nje yanaingia humo humo.....
watu wakijipenda wanakuwa na matamanio ya kuwa better people
na kufanya kila jambo kwa mtazamo wa kuwa bora zaidi...and vice versa....
watu wakijipenda wanakuwa na matamanio ya kuwa better people
na kufanya kila jambo kwa mtazamo wa kuwa bora zaidi...and vice versa....
Wana JF,
Last week kipindi cha Jahazi - Clouds FM walitangaza au walisema kuwa wanandoa wanao tembea nje ya ndoa zao kwa wanaume ni 70%(hutoka nje ya ndoa) na kwa wanawake ni 60%(hutoka nje ya ndoa), kwa utafiti huo kwa wanandoa/na ambao hamja ingia kwenye ndoa mnakubaliana na huo utafiti au muna mawazo/mtazamo tofauti?
My Take:
Utafiti huo una ukweli, kwangu me naamini hivyo.
kuna kaukweli kidogo japo kuna mapungufu. walitakiwa watuambie kwa watu wanaoishi maeneo ya kijijini wanawake asilimia ngapi wanakwapua nje ya ndoa, wanaume asilimia ngapi wanaokwapua nje ya ndoa
then watuambie kwa watu wanaoishi maeneo ya mijini % ngapi wa wanawake na % ngapi ya wanaume.
Binafsi mimi mwenyewe nimeshakwapua wake za watu labda zaidi ya 10 hahaaaaaaaaa!
The Boss tukiangalia familia na vile tulivozzoea responsibilities za hizo familia na ile misingia ambayo wanafamilia (kelekeza kwa watoto) inavotakiwa iendeshwe... inakuta kua NDOA ndio institution ambayo inabeba misingi yoote ya maadili... iwe socially, economically ama culturally - naona kuporomoka kwa morals ndani ya ndoa inachangia saaana kuporomoka kwa morals hata katika jamii - hata level ya Uongozi..
Wana JF,
Last week kipindi cha Jahazi - Clouds FM walitangaza au walisema kuwa wanandoa wanao tembea nje ya ndoa zao kwa wanaume ni 70%(hutoka nje ya ndoa) na kwa wanawake ni 60%(hutoka nje ya ndoa), kwa utafiti huo kwa wanandoa/na ambao hamja ingia kwenye ndoa mnakubaliana na huo utafiti au muna mawazo/mtazamo tofauti?
My Take:
Utafiti huo una ukweli, kwangu me naamini hivyo.
wangeanza na utafiti wa umasikini na umbumbumbu wa viongozi wetu....
kama walikosa kazi ya kufanya........
nani ana lala na nani sio jambo la muhimu saana kama watu hao ni watu wazima na hakuna sheria zinazovunjwa
<br />mi naona ni kweli na katika hiyo 70% na mi nimo naacha tabia hii
My Take:
Utafiti huo una ukweli, kwangu me naamini hivyo.
The Boss tukiangalia familia na vile tulivozzoea responsibilities za hizo familia na ile misingia ambayo wanafamilia (kelekeza kwa watoto) inavotakiwa iendeshwe... inakuta kua NDOA ndio institution ambayo inabeba misingi yoote ya maadili... iwe socially, economically ama culturally - naona kuporomoka kwa morals ndani ya ndoa inachangia saaana kuporomoka kwa morals hata katika jamii - hata level ya Uongozi..