hivi hilo kabati unaloongelea ni la aina gani..kwa mfano kama una kijichumba cha kuweka nguo na kimegawanywa makabati ya ukutani mawili..lake na lako...huo muingilianao unatokea wapi?....kutatua tatizo hili ni kujenga chumba maalumu kwa ajili ya kutunzia nguo.
wenzetu wazungu walishaliona hilo na kutafuta suluhisho la kudumu....tuwaige kwa haya machache mazuri.
hapana siyo mpole maza nahisi alikuwa anaingilia nguo za babaDuu..maza ako kiboko..inaonekana mshua ni mpole sana
Yaani bedroom, mke hata awe mstaarab kiasi gani kikawaida huwa anameza nafasi ya uhifadhi wa nguo.
Kama ni kabati atajaza nguo zake mpaka wewe uhamie masandukuni na huko usipokuwa makini utakuta kaanza kuweka nguo zake inabidi uhamie kwenye mabegi.
Pia huko atajaza na kwa sababu wanaume hatutaki usumbufu wa kutafuta na kupekua nguo utampisha utafute namna ya kutundika nako huko atakufata utakosa nafasi ya kutundika.
Wakati huo chumba kitakuwa kama store, nyie wamama nyiee.
Vichwa vyenu made in wapiii?
Heshima kwako mkuustrategy ambayo mm niltumia inafanya kazi mpaka sasa, niliweka kabati kubwa la ukutani (kama nyumba ni yako) na nikampatia partition 5 mm nikachukua 2 , sehemu 1 naweka nguo za juu (mashati, tshirt, vest) sehemu ingine naweka za chini (suruali, boxer, kamputula) za kutundika kama suti tuna share.
asante sanaHaika sana,wewe umeelewa.
Inafaa lijadiliwe maana linatugusa wengi, chumba kinakuwa min store! Khaaa!
Ukishagundua tatizo ndio mwanzo wa kuanza kulitatua, hivyo basi ni kuwa na masterbedroom kubwa yenye kabati kubwa kulingana na mahitaji yenu au kama ni kabati la kawaida siku zote kwenye kabati lazima kuwe na kiongozi ambae kazi yake ni kufanya arrangement, in this case huyo huyo mwanamke unamwachia jukumu yeye atajua namna ya kuzipangalia hizo nguo zenuNaam ni la jf.....ni la kijamii zaidi au we wadhani ni la wapi?.............
Ndugu wazo lako zuri sana...Ila..cha ajabu..ataanza kidogo kidogo kuweka nguo zake kwako.....hivi hilo kabati unaloongelea ni la aina gani..kwa mfano kama una kijichumba cha kuweka nguo na kimegawanywa makabati ya ukutani mawili..lake na lako...huo muingilianao unatokea wapi?....kutatua tatizo hili ni kujenga chumba maalumu kwa ajili ya kutunzia nguo.
wenzetu wazungu walishaliona hilo na kutafuta suluhisho la kudumu....tuwaige kwa haya machache mazuri.
Taabu ipo kwenye sox...halafu uwe una haraka..ushaiona nyeupe unaamua kuivaa...tafuta enzake huioni,,,,kila ukipekua zinatoka nyeusi,:A S angry:
Aisee kuna issue ya sox,utatafuta unapata rangi tofauti...kwa hali hii bora nijipangie mwenyewe kuokoa muda wa kudamka usubuhi...Ukishagundua tatizo ndio mwanzo wa kuanza kulitatua, hivyo basi ni kuwa na masterbedroom kubwa yenye kabati kubwa kulingana na mahitaji yenu au kama ni kabati la kawaida siku zote kwenye kabati lazima kuwe na kiongozi ambae kazi yake ni kufanya arrangement, in this case huyo huyo mwanamke unamwachia jukumu yeye atajua namna ya kuzipangalia hizo nguo zenu
hivi hilo kabati unaloongelea ni la aina gani..kwa mfano kama una kijichumba cha kuweka nguo na kimegawanywa makabati ya ukutani mawili..lake na lako...huo muingilianao unatokea wapi?....kutatua tatizo hili ni kujenga chumba maalumu kwa ajili ya kutunzia nguo.
wenzetu wazungu walishaliona hilo na kutafuta suluhisho la kudumu....tuwaige kwa haya machache mazuri.