PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,997
- 1,997
Hali zenu ndugu zangu wote?
Poleni na swaum kwa wengine wetu tuliomo,
Kwa kuwa ndo naingia huku kwenye uwanja wa walio na ndoa naomba kuuliza swali kwa wale kina mama na kina baba wenye uzoefu wao...
Hivi ilishafikia kipindi ukamchoka mwenzio kabisa?
Sizungumzii kutalikiana ama kuchukua uamuzi wa kuomba/kutoa talaka nazungumzia Moyo wako umefika mahali ukamchoka kabisa
yani (From the bottom of your heart you disdain them totally)
How did you ever get past that?
I appreciate your help.
Poleni na swaum kwa wengine wetu tuliomo,
Kwa kuwa ndo naingia huku kwenye uwanja wa walio na ndoa naomba kuuliza swali kwa wale kina mama na kina baba wenye uzoefu wao...
Hivi ilishafikia kipindi ukamchoka mwenzio kabisa?
Sizungumzii kutalikiana ama kuchukua uamuzi wa kuomba/kutoa talaka nazungumzia Moyo wako umefika mahali ukamchoka kabisa
yani (From the bottom of your heart you disdain them totally)
How did you ever get past that?
I appreciate your help.