chopeko
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 1,527
- 1,112
Habari!
Leo katika pitapita zangu nimekutana na mada hii.
Kwamba kuna wanandoa ambao huwa wanalala vitanda tofauti. Na wala sio kwamba kuna ugomvi., hapana ni staili tu ya maisha yao.
Ndivyo walivyoamua kuishi.
Wengine hueanda mbali zaidi na kulala vyumba tofauti.
Je ni sawa kweli hii??
Nawasilisha!!
******Nagila nkwibe******
Leo katika pitapita zangu nimekutana na mada hii.
Kwamba kuna wanandoa ambao huwa wanalala vitanda tofauti. Na wala sio kwamba kuna ugomvi., hapana ni staili tu ya maisha yao.
Ndivyo walivyoamua kuishi.
Wengine hueanda mbali zaidi na kulala vyumba tofauti.
Je ni sawa kweli hii??
Nawasilisha!!
******Nagila nkwibe******