Wanandoa: Angalia hizo picha

Sijui kwa nini tunapenda no 2........
 
Kwa shughuli yangu hii ya ukonda kila siku kudandia na kuning'nia garini, kupayuka wakati wa kuita wateja na kubamiza bamiza gari...mimi na mke wangu tumeamua kulala hili poziii maana mwanzoni mwanzoni mwa ndoa nilikuwa nampa vibao vya kutosha mai waifu wangu tukiwa usingizini....

 
Kuna baadhi ya positions hapo juu, mwanaume akiwa na zigo kama hili wala haziwezi lalika...


 
aiseeeee babayangu kumbe sikusoma kichwa cha habari ngoja nitoke nduki
 
ni kweli wanaupendo lakini kwa wanawake wa kwetu mwili mkubwa kuliko mume utamkumbatiaje ivyo utaamka usiku mkono uwe umekufa ganzi
 
number 6 lazima usuffocate. ukifanyiwa number 4 ukiifanya kwa mpenzi mpya lazima ikuzingue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…