Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 518
- 936
Wanandoa, acheni mazoea kwenye tendo la ndoa.
Peaneni kila utamu unaostahili.
Kuna katabia fulani ambacho ni kibaya sana kwa wanandoa, na ndicho kinachoharibu pia mahusiano mazuri kwenye ndoa — kuleteana mazoea, tena kwenye mambo ambayo hayataki mazoea kabisa.
Mfano, kwenye tendo la ndoa:
unakuta hadi mwenzi wako akuombe umpige show, na hata ukikubali, hakuna ushirikiano unaompa.
Mlikuwa mnapeana staili kibao kwenye game ya kwenye bedi, lakini sasa hivi staili moja tu — tena ya kifo cha mende!
Hakuna tena dog style, hakuna njoo uichungulie kwa chini, wala ile ya Kizimkazi! 😅
Niwaambie tu — ukitaka ndoa yako idumu, na hata mnapokosana mkaweza kusameheana haraka na kuendelea kuishi kwa amani,
basi tambua hili: Moja ya mambo yanayoleta kumbukumbu nzuri kwenye ndoa ni kusenyetana!
Yale mengine ni ziada tu.
Sasa endeleeni kuleteana mazoea...
lakini mtakachokikuta, msije mkawalaumu “wahuni” watu wabaya! 😂
Peaneni kila utamu unaostahili.
Kuna katabia fulani ambacho ni kibaya sana kwa wanandoa, na ndicho kinachoharibu pia mahusiano mazuri kwenye ndoa — kuleteana mazoea, tena kwenye mambo ambayo hayataki mazoea kabisa.
Mfano, kwenye tendo la ndoa:
unakuta hadi mwenzi wako akuombe umpige show, na hata ukikubali, hakuna ushirikiano unaompa.
Mlikuwa mnapeana staili kibao kwenye game ya kwenye bedi, lakini sasa hivi staili moja tu — tena ya kifo cha mende!
Hakuna tena dog style, hakuna njoo uichungulie kwa chini, wala ile ya Kizimkazi! 😅
Niwaambie tu — ukitaka ndoa yako idumu, na hata mnapokosana mkaweza kusameheana haraka na kuendelea kuishi kwa amani,
basi tambua hili: Moja ya mambo yanayoleta kumbukumbu nzuri kwenye ndoa ni kusenyetana!
Yale mengine ni ziada tu.
Sasa endeleeni kuleteana mazoea...
lakini mtakachokikuta, msije mkawalaumu “wahuni” watu wabaya! 😂