KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,887
- 40,069
Atakua hajawahi kuibiwa maana iliujue limit ya hasira yako subiri uibiwe hapo ndipo utakapoona ubaya wa kibaka.
Kweli mkuu inawezekana mwenzetu ni wale watoto wa kota...hawajawahi kukumbana na roba za mbao....