Njia ya kistaarabu zaidi ni kuwapa hao vijana ajira ili washiriki katika maisha endekevu.
Polisi au nguvu itawaimarisha tu kuingia criminal gangs.
Mkuu, toa mfano wapewe ajira gani?
Njia ya kistaarabu zaidi ni kuwapa hao vijana ajira ili washiriki katika maisha endekevu.
Polisi au nguvu itawaimarisha tu kuingia criminal gangs.
Shukrani!
Jadili mada basi, utaalam wako wa mpiasho basi sasa!Hujui nilipo.
Acha kujifanya unajua
Hujui chochote.
Shukrani yako kaisokomeze where the sun don't shine
Sucker.
Hujui nilipo.
Acha kujifanya unajua
Hujui chochote.
Shukrani yako kaisokomeze where the sun don't shine
Sucker.
Na hiki ndo wananchi wamekataa! Watu wameshinda wananoa shoka,panga nk. Kesho me hata biashara sifungui..!
Intelegensia ya polisi Tanzania ni kwa ajili ya vyama vya upinzani tu. Huko ndio hawalali. Wapo macho saa 24!
Kuzuia uharifu haipo kwenye orodha ya kazi zao labda itokee tu.
Hali ya sasa ya uchumi ni mbaya sana watu ambao kutokana na uchumi wangejiajiri au kuajiriwa kama mafundi ujenzi, madereva, wapishi, washoni, wafua vyuma hata wasusi-hizi zote ni ajira zinazoweza kuweka pesa mfukoni, hivyo chakula nyumbani.Mkuu, toa mfano wapewe ajira gani?
Asante mkuu.
Kwani wanakupangia kwa kupenda? Ni lazima.
Halafu ooh, Tanzania ni kisiwa cha amani.
Shukrani!
Hapa hata mimi huwa sielewi hizi hasira kali huwa zinapotelea wapi kwa panya road!?
Huyu jamaa si ajabu ni Desmod Tutu!Barasu nimekupenda bureee u mstaarabu sana.....mwah be blessed
Huyu jamaa si ajabu ni Desmod Tutu!
Kilicho lazima ni nini?
Kukufanya wanavyotaka
Wewe lazima utakuwa kibaka...au una maslahi na vibaka au unajifunza ukibaka....moto wa tairi unakusubiri..
Hawawezi kunifanya wanachotaka. Kamwe hawawezi.