Wananchi wanaitegemea CCM Kuwaletea viongozi bora

Wananchi wanaitegemea CCM Kuwaletea viongozi bora

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,534
Reaction score
31,198
Hilo ni jukumu ambalo wananchi kutoka kata na majimbo yote wameikabidhi CCM kuhakikisha kuwa viongozi wenye tija,weledi,hofu ya Mungu na kaliba inayofanania wanapitishwa kuingia kwenye kinyang'anyiro cha Uchaguzi huu wa 2025.

Tuwape haki hii!!Tunajionea wanavyojitokeza kusema!
 
Ni tumbo lako linaitegemea CCM ili digestion system tendered kufanya kazi.
 
Hilo ni jukumu ambalo wananchi kutoka kata na majimbo yote wameikabidhi CCM kuhakikisha kuwa viongozi wenye tija,weledi,hofu ya Mungu na kaliba inayofanania wanapitishwa kuingia kwenye kinyang'anyiro cha Uchaguzi huu wa 2025.

Tuwape haki hii!!Tunajionea wanavyojitokeza kusema!
CCM hakuna kiongozi, kuna wapigaji
 
Hilo ni jukumu ambalo wananchi kutoka kata na majimbo yote wameikabidhi CCM kuhakikisha kuwa viongozi wenye tija,weledi,hofu ya Mungu na kaliba inayofanania wanapitishwa kuingia kwenye kinyang'anyiro cha Uchaguzi huu wa 2025.

Tuwape haki hii!!Tunajionea wanavyojitokeza kusema!
Screenshot_20250703-140259~2.png
 
Back
Top Bottom