Hatimaye maelfu ya wananchi wamezidi kupaza sauti wakimtaka Rais Magufuli kubadili katiba na kuweza kuongoza vipindi vingi zaidi kutokana na kasi yake ambayo imekuwa chachu ya matumaini na mabadiliko nchini.
Siungi mkono hoja kwani Katiba inasemaje. Naomba Katiba iheshimiwe .
Hakuna hapo ya msingi ,kwanza ndio jana kamaliza uteuzi. Mngesubiri hata matokeo ya kazi za serikali yake basi !!
Nilichoona waTz ni nyani kama nyani wengine hawayaoni ya kwao bali ya wengine. Tunawashutumu kina Mseveni, Kagame, Nkurunzinza, Kabila etc kubadili katiba zao waendelee na huku sisi tukihimiza yafanyike hayo hayo kwa uongozi wetu. Tusemeje kama si unafki (SHAMEFUL)
Hatimaye maelfu ya wananchi wamezidi kupaza sauti wakimtaka Rais Magufuli kubadili katiba na kuweza kuongoza vipindi vingi zaidi kutokana na kasi yake ambayo imekuwa chachu ya matumaini na mabadiliko nchini.
Akitoka magu anaingia makonda
JK alianza kwa kasi ipi? Mie siikumbuki. Ila haya ya Magufuli yatabaki kwenye memory za wananchi kwa miaka mingi ijayo
Naunga mkono hoja,magufuli awe tu mfalme wa Tanzania
Hivi Magufuli amefanya nn mpaka sasa kinachoweza kumfanya mtu makini atamani magufuli abadili katiba kuongeza awamu???
Ndio kina nkurunzinza hao
Abadili katiba ili awe kama Museveni, Kagame, Nkuruzinza, Kabila na waovu wengine. Habari za Milembe.
Hatimaye maelfu ya wananchi wamezidi kupaza sauti wakimtaka Rais Magufuli kubadili katiba na kuweza kuongoza vipindi vingi zaidi kutokana na kasi yake ambayo imekuwa chachu ya matumaini na mabadiliko nchini.
Daaah!! Ee bana ee. Bora hii katiba kipengere cha uraisi kiwe free yaan kama anauwezo wa kuongoza maisha yake yote aachiwe na sio misimu miwili kama ilivyozoeleka.
Hayo mabadiliko umeyaona wapi wewe?
Umeonaeee tunaomba Mungu wasije wakaibaka katiba