Wananchi wakomolewa kwa kukimbilia kivuko kipya cha MV Kigamboni

intelijensia inaonyesha hivi karibuni CCM inapanga kuwatoa kafara wakazi wa kigamboni ili mzame majini kuweni makini
 
Kule darajani unavuka utakavyo,
Ukivuka kichura chura,kinyumenyume,unakimbia au unatembea mwendo wa haraka.
Unavuka kwa dakika zako pendwa.
Ningekuwa mm ili kuwakomoa jioni ningepitia Daraja la Nyerere,sipendagi ujinga wa hivyyo mimi.[/QUOTE
Kule kuna tochi ya 30 KPH
 
ni sababu alivyofika upande wa pili alikataa kushusha mlango raia ndo wakaanza kupiga kelele

Ok. Unajua, hili suala ni pana. Tuombe Mungu haikuwa tatizo la kiufundi kwamba kivuko ni kibovu. Inawezekana milango ilikuwa imejam na alikuwa akihangaika bila abiria kujua. Ni afadhali mamlaka ichunguze hivi vivuko kwa uhakiki na si kiserikali serikali ambao hulipua ama kusubiri watu waumie kwanza.

Hatari ya vyombo vya majini ni nyingi sana. Anaweza kuwazamisha na yeye kujiokoa kwa ajli ya kutiwa kisirani. Abiria tuwe makini lakin serikali ijali watu wake kwa uhalisia na si kwa kupiga picha ili zitumike kwenye kampeni.
 
Dunia ina mambo, pantoni jipya la MV Kigamboni, limeendeshwa taratibu kisa watu wamelikimbilia na kukwepa MV Magogoni.

Yaani ety mtu unamkomoa abiria, tasisi za watu jamani, msiwe na viburi, sasa mlitaka kusababisha vurugu, na maandamano, mtu unamcherewesha makusudi kisa kakimbilia kivuko.

ombeni yasimfkie mkuu wa nchi, pantoni limetoka kivukoni saa 12:49 limefika ferry (Kigamboni) saa 1;37, yaani dk. 40+ ile sehemu ni ya kuvuka dk.40 kweli.

Acheni viburi, msichezee kazi za watu
Kwenye msafara wa MAMBA na KENGE wamo! Hao watenda kazi hapo Kigamboni wachunguzwe, inawezekana wanatumiwa na akina "Amsterdam".
 
Back
Top Bottom