Abubakar Abdallah
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 281
- 170
Ni aibu!aibu!aibu!mtu kapokea milion 25 kama faida ya jasho lake la ukulima na kisha miezi minne mbele anasema kwa sauti pana kijiweni.....'SINA HELAAA DAH'....sasa unataka upewe nin tena.....unachokumbuka ukipata pesa ni upuuz tofaut na uwekezaj....kumnywesha soda mbuzi na kukesha hotelini na familia nzima bila kupika....shame on yu!! sio kila mwaka lazima ulime....wekeza kesho watu walime kwa ajili yako.......