Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,450
- 12,317
Salama leikum!
Kila mmoja anafahamu historia ya mikoa ya Mtwara na Lindi tangu mkoloni,uhuru mpk sasa.
Mikoa hii imepitia magumu mengi sana kijamii na kiuchumi hasa kuanzia miaka ya 2010 kurudi nyuma.kiasi kwamba ilikua hata kujitambulisha mbele ya jamii kua unatoka Mtwara au Lindi unaona aibu kutokana na kudharaulika kwa mikoa hiyo kwa kua ilikua inaonekana ni maskini na wakazi wake ni duni.(wenyewe walikua wanaita "kusini").
Ikumbukwe tu miaka ya 1990 ilifikia hatua mtumishi akihamishiwa au kupangiwa kazi mtwara ilikua km ni adhabu kwake na wengi waliacha kazi.wakati huo kutoka dar kwenda mtwara unasafiri wiki mbili,Hali ikiwa nzuri unaweza kusafiri kwa siku 3,wakati huo soda ilikua inauzwa 500 wakati dar inauzwa tsh 150! hpo bado sijaongelea bei ya cement na vitu vingine.
Angalau sasa miaka ya hivi karibuni mikoa hii imeanza kufunguka kiuchumi hasa baada ya gesi kuanza kuchimbwa na barabara inayounganisha dar na mtwara kutengemaa..lakini cha ajabu imeonaka kutokea mambo yasiyo eleweka na yenye kuumiza vichwa.kwa nini kila linapokuja jambo jema kwa mikoa hii kunatokea figisu figisu zisizo eleweka?
1. Kulikua na reli ya Nachingwea ikang'olewa kipindi kile cha wakina Kawawa na Jk sijui sababu ilikua ni nini?
2.Ilipoanza kuchimbwa gesi tukaona sasa ndio nafasi pekee ya Mtwara na Lindi kua na viwanda Lukuki,tooobaaaa mara tunaskia hiyooo daslama kinyerezi watu wakapigana wee kupinga hili swala tukatukanwa na kuitwa hatuja soma mara hivi but ndo hivyo mwenye nguvu muite 'power'.
3. Tukapozwa na kiwanda kikuuubwaa na cha pekee cha Dangote ambacho ndio tunachojivunia watu wa mtwara na lindi,cha kushangaza zimeanza ishu zisizo eleweka eleweka mara hivi mara vile mwisho wa siku ndo itakua yale yale tu km ya reli na gesi.
Hivi sisi watu wa mtwara na Lindi tuna mkosi gani mbona kila jambo jema linapokuja kwetu lazima kutokee sintofahamu? au ndo kutokusoma kwetu kunapelekea haya yote? au kuna mtu yupo kati hataki mikoa hii ifanane na ya huko kwao?
Jamani na sisi tunapenda kuitwa 'mikoa iliyo endelea' tunapenda kutembea kifua mbele kwa kujivunia maendeleo ya kwetu km na nyinyi mnavyo vimba migongo kwa kujinasibu kua kwenu ni Dar,Mwanza,Arusha,Moshi,Tanga kume endelea.
Na nyie wabunge wetu acheni kulala mnatuangusha sana Dangote anaondoka huyu mmekaa kimya tuuu hata hatuwaskii mkipiga kelele? mbona wenzenu wachaga wanakuaga makini sana kutetea maendelea ya mikoa yao? au hii ya korosho kuuzwa alfu 4 kilo ndo mnaona mmesha maliza kazi? 2020 sio mbali mjue ohoooo!!!
INAUMA SANA UNAJUA.
Kila mmoja anafahamu historia ya mikoa ya Mtwara na Lindi tangu mkoloni,uhuru mpk sasa.
Mikoa hii imepitia magumu mengi sana kijamii na kiuchumi hasa kuanzia miaka ya 2010 kurudi nyuma.kiasi kwamba ilikua hata kujitambulisha mbele ya jamii kua unatoka Mtwara au Lindi unaona aibu kutokana na kudharaulika kwa mikoa hiyo kwa kua ilikua inaonekana ni maskini na wakazi wake ni duni.(wenyewe walikua wanaita "kusini").
Ikumbukwe tu miaka ya 1990 ilifikia hatua mtumishi akihamishiwa au kupangiwa kazi mtwara ilikua km ni adhabu kwake na wengi waliacha kazi.wakati huo kutoka dar kwenda mtwara unasafiri wiki mbili,Hali ikiwa nzuri unaweza kusafiri kwa siku 3,wakati huo soda ilikua inauzwa 500 wakati dar inauzwa tsh 150! hpo bado sijaongelea bei ya cement na vitu vingine.
Angalau sasa miaka ya hivi karibuni mikoa hii imeanza kufunguka kiuchumi hasa baada ya gesi kuanza kuchimbwa na barabara inayounganisha dar na mtwara kutengemaa..lakini cha ajabu imeonaka kutokea mambo yasiyo eleweka na yenye kuumiza vichwa.kwa nini kila linapokuja jambo jema kwa mikoa hii kunatokea figisu figisu zisizo eleweka?
1. Kulikua na reli ya Nachingwea ikang'olewa kipindi kile cha wakina Kawawa na Jk sijui sababu ilikua ni nini?
2.Ilipoanza kuchimbwa gesi tukaona sasa ndio nafasi pekee ya Mtwara na Lindi kua na viwanda Lukuki,tooobaaaa mara tunaskia hiyooo daslama kinyerezi watu wakapigana wee kupinga hili swala tukatukanwa na kuitwa hatuja soma mara hivi but ndo hivyo mwenye nguvu muite 'power'.
3. Tukapozwa na kiwanda kikuuubwaa na cha pekee cha Dangote ambacho ndio tunachojivunia watu wa mtwara na lindi,cha kushangaza zimeanza ishu zisizo eleweka eleweka mara hivi mara vile mwisho wa siku ndo itakua yale yale tu km ya reli na gesi.
Hivi sisi watu wa mtwara na Lindi tuna mkosi gani mbona kila jambo jema linapokuja kwetu lazima kutokee sintofahamu? au ndo kutokusoma kwetu kunapelekea haya yote? au kuna mtu yupo kati hataki mikoa hii ifanane na ya huko kwao?
Jamani na sisi tunapenda kuitwa 'mikoa iliyo endelea' tunapenda kutembea kifua mbele kwa kujivunia maendeleo ya kwetu km na nyinyi mnavyo vimba migongo kwa kujinasibu kua kwenu ni Dar,Mwanza,Arusha,Moshi,Tanga kume endelea.
Na nyie wabunge wetu acheni kulala mnatuangusha sana Dangote anaondoka huyu mmekaa kimya tuuu hata hatuwaskii mkipiga kelele? mbona wenzenu wachaga wanakuaga makini sana kutetea maendelea ya mikoa yao? au hii ya korosho kuuzwa alfu 4 kilo ndo mnaona mmesha maliza kazi? 2020 sio mbali mjue ohoooo!!!
INAUMA SANA UNAJUA.