Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,048
Me naona wana andamana cjui shida nn ila wana uhuru wakuandamana sababu ni taifa pekee lakidemokrasia pale mashariki yakati kwahio wananchi wameandamana kutimiza haki yao yakikatibaMaandamano yamesababishwa na nini kwanza?
Viandamano vilivyopo hata haviitetemeshi serikali banaHaya ni Maandamano uchwara tu ni genge la wahuni wachache tu ambayo yameandaliwa na agents wa nje mmoja wap ni balozi janakakamatwa na mwengine ni babu chizi amepost uko Twitter kusapoti Hawa agents wake.
Wa Iran 82 millions wapo pamoja na serikali Yao hawasumbuliwi na hii trap ya mabeberu.
Sent using Jamii Forums mobile app