mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Hahaha we jamaa na haka kapicha kako ni universal kwa kila uzi wa iran?
Hii nadhani pia ina-qualify kua kila uzi au unaonaje?
Wamarekani weusi kapicha kanawaumiza eeh,hahah.
dodge
Hahaha we jamaa na haka kapicha kako ni universal kwa kila uzi wa iran?
Naona wapenzi wa Iran mnapoteza muda tu. Iran soon inaelekea kuwa Libya au Misri. Tayari Iran imeshaingia choo cha kike
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm nasisitiza jeshi halina kosa, wenye kosa ni walio iruhusu ndege kupaa wakati jeshi lilisha onya kitu chochote kisipae angani mpaka litakapo toa hakikisho kwamba anga ni salama.
Punde ayatollah atamfata sadam na gadafiHii nadhani pia ina-qualify kua kila uzi au unaonaje?
Wamarekani weusi kapicha kanawaumiza eeh,hahah.
View attachment 1320722
dodge
Kabla ya kwenda kumsalimia Saddam atafanya kama alivyofanya hapo chini kwny picha.Punde ayatollah atamfata sadam na gadafi
Wapenzi wa Iran nawaona mnavyotapatapa. Mkuu sahau kuhusu iran,tayari imepatikana,imeshaingia kwenye target. Soon itakuwa kama Libya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo unanishaurije mkuu?. Nifuate nyayo zako,nimshabikie Iran ksbb ya Jean's? Ksbb ya nauli ya daladala?Kwa hiyo ikiwa kama Libya wewe USA watkuuzia jeans kwa sh 2000 ama
Hujui kuwa machafuko yakitokea huko na wese kwenye daladala itapanda na wewe utalipa nauli ya ziada?
Muwe mna angalia matukio yaliyopita bila ushabiki na maneno ya bla bla tu
Sukari ikifika elfu 10000 ndio utajua
Sent from my iPhone using Tapatalk
Na kama hawajui Iran ndicho anachokinyemelea marekani. Na iran kweli kaingia kucheza music ule ule unaopigwa na marekani. Soon ya Iraq,Libya,Afghanistan hii hapaYalio tokea Libya yanakuja Iran.
Kwa hiyo unanishaurije mkuu?. Nifuate nyayo zako,nimshabikie Iran ksbb ya Jean's? Ksbb ya nauli ya daladala?
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali za watu wanaojitambua huwa wanaandamana kwa sababu wanachi ndio wajiri sasa kwa nini wasimulize mganyakazi wao kama ana makosa msifanaishe na serikali za huku dunia ya 3kwa hio wananchi wanaigeuka serikali tena ?
Anasingizia eti hakushiriki na alikuwa kwa kinyozi alipokamatwa
Hakuna cha diplomatic immunity wala nini ukizingua wanakubeba
Heshima na woga wa mtu mweupe kwisha
Sent from my iPhone using Tapatalk
Yapo,then what?
dodge
team iran hyoKwa hiyo ikiwa kama Libya wewe USA watkuuzia jeans kwa sh 2000 ama
Hujui kuwa machafuko yakitokea huko na wese kwenye daladala itapanda na wewe utalipa nauli ya ziada?
Muwe mna angalia matukio yaliyopita bila ushabiki na maneno ya bla bla tu
Sukari ikifika elfu 10000 ndio utajua
Sent from my iPhone using Tapatalk