AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Habar wana Jf!
Maelfu ya wananchi wa arumeru mashariki wanaanda utaratibu wa kuchanga fedha na kukodi malori ili waweze kumsindikiza mbunge wao bungeni aprli hii, uamuzi huo bado unaratibiwa na maelfu ya wakazi wa arumeru especially vijana wote na wananchi wengine wa kawaida, mchakato huu umetokana na wito ulotolewa na Mwenyekiti wa CDM taifa F. Mbowe ktk mkutano wa kuwashukuru wananchi wa arumeru ulofanyika leo jioni.
my take
kama mpango huu utafanikiwa basi itakuwa ni ishara na salam ya mabadiliko kwa CCM kuelekea 2015.
CHADEMA 4 Life
M4C
solidarity forever.
Maelfu ya wananchi wa arumeru mashariki wanaanda utaratibu wa kuchanga fedha na kukodi malori ili waweze kumsindikiza mbunge wao bungeni aprli hii, uamuzi huo bado unaratibiwa na maelfu ya wakazi wa arumeru especially vijana wote na wananchi wengine wa kawaida, mchakato huu umetokana na wito ulotolewa na Mwenyekiti wa CDM taifa F. Mbowe ktk mkutano wa kuwashukuru wananchi wa arumeru ulofanyika leo jioni.
my take
kama mpango huu utafanikiwa basi itakuwa ni ishara na salam ya mabadiliko kwa CCM kuelekea 2015.
CHADEMA 4 Life
M4C
solidarity forever.