Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Hao wahuni walioonyeshwa kwenye TV ni muendelezo wa Propaganda chafu za ITV na CHADEMA.
Huu ni upuuzi!
Hao wahuni walioonyeshwa kwenye TV ni muendelezo wa Propaganda chafu za ITV na CHADEMA.
Hao wahuni walioonyeshwa kwenye TV ni muendelezo wa Propaganda chafu za ITV na CHADEMA.
uongo mwingine huu unauleta leo baada ya matokeo rasmi kutangazwa. kazi yenu kupandikiza vurugu kwa kuwakodisha watu wafanye vurugu na kufukuza wateule halafu mnasingizia aliyeshinda ni wa chadema..mlikuwa wapi siku zote au ndio umeamka usingizini?
Hao wahuni walioonyeshwa kwenye TV ni muendelezo wa Propaganda chafu za ITV na CHADEMA.
Hao wahuni walioonyeshwa kwenye TV ni muendelezo wa Propaganda chafu za ITV na CHADEMA.
Hatimaye Taifa limeamka na elimu ya demokrasia inayosambazwa na Chadema imeenea nchi nzima.
Katika uchaguzi wa Serikali za mitaa ulipita wananchi wa Mto wa Mbu huko Monduli Arusha walipiga kura na kumchagua kwa wingi wa kura mgombea wa Chadema lakini katika hali ya kushangaza inadaiwa kwa maelekezo ya mbunge wa Jimbo hilo Edward Lowassa msimamizi wa uchaguzi alimtangaza mgombea wa CCM ndiye mshindi.
Leo kulikuwa na mkutano wa wakazi wa Mto wa Mbu kumtambulisha Mwenyekiti huyo wa CCM hata hivyo ilitokea vurugu kubwa sana na wananchi walimtimua Mwenyekiti huyo kama kibaka na kuapa kwamba hatowaongoza.
Mara baada ya kumtimua kama kibaka mteule huyo wa Lowassa umati huo ulimbeba juujuu mteule wao wa Chadema na kumpeleka kiti cha mbele.Kulikuwa na polisi wengi lakini waliogopa nguvu ya Umma.
Umati huo ulikuwa ukiimba Fukuza vibaka,Fukiza wezi.
Hao wahuni walioonyeshwa kwenye TV ni muendelezo wa Propaganda chafu za ITV na CHADEMA.
Kwani mkuu wewe hukuangalia taarifa ya saa mbili kamili ITV? Kwa hiyo unawaambia wananchi ni waongo? Hilooooooo jinga hilooooooooooo!!uongo mwingine huu unauleta leo baada ya matokeo rasmi kutangazwa. kazi yenu kupandikiza vurugu kwa kuwakodisha watu wafanye vurugu na kufukuza wateule halafu mnasingizia aliyeshinda ni wa chadema..mlikuwa wapi siku zote au ndio umeamka usingizini?
Kuna mambo ccm mjifunze,kazi kubwa ya viongozi ni kushawishi,kuweka malengo na kuyatekeleza,mto wa mbu ni sehemu tu ya eneo la jimbo la monduli lilivyotelekezwa.Hao wahuni walioonyeshwa kwenye TV ni muendelezo wa Propaganda chafu za ITV na CHADEMA.
Kuna mambo ccm mjifunze,kazi kubwa ya viongozi ni kushawishi,kuweka malengo na kuyatekeleza,mto wa mbu ni sehemu tu ya eneo la jimbo la monduli lilivyotelekezwa.
Lowassa,kwa fedha anazomwaga makanisani na misikitini,zingetosha kujenga madarasa ya chekechea kila shule na kuweka umeme kwe'ye nyumba za walimu.
Halmashauri aliyoiacha Sokoine,imedumaa!,
Hao wahuni walioonyeshwa kwenye TV ni muendelezo wa Propaganda chafu za ITV na CHADEMA.
Hao wahuni walioonyeshwa kwenye TV ni muendelezo wa Propaganda chafu za ITV na CHADEMA.