Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,901
Well said time will tell, and you will see by ueself.
Nikushauri tu acha kuwa na mawazo mgando kuamini kuwa kila kusanyiko karibia na uchaguzi ni la kisiasa that is a stupid mind na ndio wana kagera hawaendelei wanaendekeza propaganda za siasa.
Niliuliza kusanyiko gani la siasa linawaleta wapinzani wote, na viongozi wa kidini na hata waziri. Pple of your type with negativity ndo mnakwamisha maendeleo.
Weweeeeee, Wekeni hela mezani kwa ajili ya miradi ya maendeleo na siyo makongamano uchwara.