Wananchi Mkoa Kagera kuweni makini haya makongamano

KABLA YA KUWALAUMU WEWE UMEFANYA NINI ANGALAU?


Siwezi disclose nilichofanya maana hii ni jf ya kila mmoja.

Ila unapoandika, hebu andika vizuri hasa kwa kutumia herufi kubwa mwanzoni mwa sentensi na herufi zinazofata tumia herufi ndogo.
 
Umeeleza vizuri ila umekosea kutaja Mji wa Moshi. Moshi ni mji uliochoka hata kuliko Bukoba.

Post sent using JamiiForums mobile app
Unaizungumzia moshi ipi? Stend ya moshi unaijua vizuri? Umewahi kuona barabara mbovu moshi mjini? Ikifikia huko tutaiomba serikali iache kutuwekea lami vijijini irudi ikarabati mji wa moshi hatutaki aibu za kijinga

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Unaizungumzia moshi ipi? Stend ya moshi unaijua vizuri? Umewahi kuona barabara mbovu moshi mjini? Ikifikia huko tutaiomba serikali iache kutuwekea lami vijijini irudi ikarabati mji wa moshi hatutaki aibu za kijinga

Post sent using JamiiForums mobile app


Haaaaa Haaaaa Haaaaa Haaaaa teeeh teeeh teeeh, Yesu na Maria haki aibu siyo kizuri Bwashee lazima ukatae.
 
Kwenye karne ya 21 unapanda basi la ukabila? hovyo kabisa.
hovyo wewe na uzao wako wa Lumumba, akili finyu. Kabila ni chimbuko langu siwezi kulitupa! That is the inside of me! But I will not entertain it when we come to national interest, but at individual level nitautukuza.
 
Haaaaa Haaaaa Haaaaa Haaaaa teeeh teeeh teeeh, Yesu na Maria haki aibu siyo kizuri Bwashee lazima ukatae.
Umeona hizo picha za madimbwi ya maji? Moshi umewahi kuyaona kwenye stendi zake zote mbili?

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Umeona hizo picha za madimbwi ya maji? Moshi umewahi kuyaona kwenye stendi zake zote mbili?

Post sent using JamiiForums mobile app

Hao bk wanachezea akili za watu Kwa makongamano badala ya kuja na hela za kujenga.

Ndiyo yaleyele mtu anaumwa wao wanaweka kikao cha mahala pa kumzika badala ya kutafuta hela za matibabu
 
Hao bk wanachezea akili za watu Kwa makongamano badala ya kuja na hela za kujenga.

Ndiyo yaleyele mtu anaumwa wao wanaweka kikao cha mahala pa kumzika badala ya kutafuta hela za matibabu
Sasa Ile billion na nusu aliyopewa mzee wa vijisenti siingetosha Kabisa kuifanya stendi iwe ya kisasa Kabisa? Ninachokiona hawa watu wanapenda sana siasa za matambo kuliko mkoa wao ona kama huyo kijana namwonaga itv malumbano ya hoja naona tangia kipindi kimepunguza washiriki ameamia bukoba kuwadanganya wahaya angekua na nia ya maendeleo angeanzia hapa Dar walipo matajiri wa kihaya akaitisha arambeee kuchangisha ela then akapeleka Kule kianzio sio kwenda na matisheti kwenye mambo yanayohitaji ela waache usanii

Sent from my HTC One using JamiiForums mobile app
 
Umeona hizo picha za madimbwi ya maji? Moshi umewahi kuyaona kwenye stendi zake zote mbili?

Post sent using JamiiForums mobile app
Bukoba tatizo lililopo ni miundombinu yake kazi ya serikali.lakini kivingine bukoba inazidi miji mingi sana tz

Post sent using JamiiForums mobile app
 
KAKA YANGU MATHIAS NAKUHESHIMU LAKINI KATIKA HILI NAONA WEWE NI MMOJA WAPO WA VIKWAZO VYA MAENDELEO MKOANI KAGERA. NINAZO SABABU ZA KUTAMKA HIVYO
1. MIMI MKAAZI WA MKOA WA KAGERA KUTOKA KYAKA AMBAYE NIMEHUDHURIA KWA SIKU ZOTE MBILI NIMEWEZA KUJIFUNZA MENGI AMBAYO SIJAWAHI KUYAPATA KATIKA MAKONGAMANO AMBAYO NIMEKUWA NIKIHUDHURIA MKOANI KAGERA
a) Waaandaji wa kongamano hili asilimia kubwa ni vijana wadogo sana kiumri lakini wameonyesha uzalendo. Naomba utupe ushahidi kuwa hawa vijana ni matapeli.
b.) mimi na wewe tumeshiriki ktk kongamano hili, na tumewasikia wakitamka wazi sio kongamano la kidini wala sio siasa na ndio maana limeundwa na vijana wa itikadi tofauti na walio alikwa walikuwa watu wa itikadi tofauti wakiwemo wabunge wa mkoa wa kagera, viongozi wa dini, na mkuu wa mkoa kama mgeni rasimi, wenyeviti wa halmashauri zote za mkoa w kagera, wakuu wa wilaya na wakurugenzi na mwisho alikuja mheshimiwa waziri Mwijage. Naomba utuhakikishie utapeli gani unafanyika kuwaleta viongozi wa serikali na wa itikadi tofauti za kisiasa na kidini?

Nilichojifunza kama mshiriki mkoa wa kagera hautawezi kuendelea kama baada ya kuwapongeza kwa hata kilichofanyika na kuwatia moyo tena wewe kama mwanahabari na mwanakagera mwenye nia thabiti ya kupambana na umasikini ktk mkoa wetu.
TATIZO LA WAHAYA NI WANAFIKI, KUTOPENDA KUSSUPORT MAENDELEO NA KUTOKUWA WAZALENDO WA MKOA WAO KWAHIYO INAPOTOKEA FURSA KAMA HIZI TUACHE KUKURUPUKA KUPOTOSHA JAMII KWA KUTUMIA TAALUMA ZETU.

BINAFSI NIMEFANYA SHUGHULI NYINGI NA WAANDISHI WA HABARI NINACHOKIONA KTK ANDIKO LAKO KWA HARAKA HARAKA NI KUPIGANIA MASILAI BINAFSI, MMEKUWA NA TABIA YA KUOMBA KULIPWA WAKATI NI SEHEMU YA KAZI YENU, SINA UHAKIKA KAMA TAALUMA INAKURUHUSU HIVYO.

WEWE KAMA MWANDISHI MKONGWE UMEUFANYIA NINI MKOA WAKO KWA KUPITIA TAALUM YAK0 NA UZALENDO WAKO KAMA MZAWA. KWA KU UTHIBITISHIA UMMA WANA KAGERA YA KUWA SISI NI WANAFIKI WANAACHI WA MANISPAA YA BUKOBA USHIRIKI WAO ULIKUWA NI 0.1% WAMEZIDIWA NA WATU KUTOKA WILAYA NYINGINE. TATIZO KUBWA MNAFIKIRIA SIASA WAKATI WOTE NA WEWE UKIWEMO NA NDIO MAANA UNAKUWA NA MAWAZO MGANDO.

TUACHE UNAFIKI TUWE WAZALENDO, NILIFIKIRI UMEELIMIKA KUMBE NA WEWE UMEISHA ATHIRIKA NA UNAFIKI WA WANA BUKOBA. MCHAWI WA MAENDELEO YA KAGERA NI SISI WENYEWE

MWENYE SIKIO NA ASIKIE.
of course kuna upotoshaji mkubwa sana kwa watu hasa vijana wapale bukoba mjini juu ya kongamano letu. Guys tusifw moyo kwani hiyo ndo kasumba ya mhaya lwango kamunobele ndo jadi yetu. we should grow in success and not merely jumping into success. Hao wanaotuchafua jamiiforums hawajui dhamira yetu ya dhati. Tumeshalianzisha na haturudi nyuma. Let our actions speak louder than words. Tushikamane tusonge mbele maana wengine kama mimi tushazoea such kinds of kejeli. Lazima tuwe na ngozi ngumu na roho ngumu ya kuhimili such kind of people of which ndo majority kwa bukoba. We should be resilient for whatever comes around. Mungu azidi kutupigania
 
Wana Bumei nawapongeza sana mpaka hapo mlipofikia, msivunjike moyo, kwa mitazamo hasi ya baadhi ya watu, hiyo na kawaida na muhimu katika michakato ya maendeleo.Kuna kitu kinaitwa CADABO kwa maana ya COLLABORATORS mchakato wowote Wa maendeleo unahitaji kuwa na washirika, pia na ACTORS kwa maana ya watendaji, DONORS kwa maana ya wafadhili na wahisani. AUTHORITY kwa maana ya mamlaka,ya selkari kwa ajili ya msukumo Wa kisera na ungwaji mkono BENEFICIARIES kwa maana ya walengwa na mwisho kabisa ni OPPOSERS kwa maana ya wapingaji wa kila kitu ambao ni kundi muhimu sana katika mchakato Wa maendeleo.
Kwa hiyo don't be disappointed ,it is part and parcel of the development process. Binafsi mimi nawapongeza sana kwa initiatives zenu,na Nina Imani MTA achieve ndoto zenu,tupo pamoja na Mungu awabariki sana

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Kukusanyika na matirshirt machafu haibadili kuwa wanakagera wameutelekeza mji na mkoa.

Mlikuwa wapi tangia ndiyo mnaanza kuja tunapokaribia uchaguzi mkuu ujao!?

Any way, time will tell.
Well said time will tell, and you will see by ueself.
Nikushauri tu acha kuwa na mawazo mgando kuamini kuwa kila kusanyiko karibia na uchaguzi ni la kisiasa that is a stupid mind na ndio wana kagera hawaendelei wanaendekeza propaganda za siasa.

Niliuliza kusanyiko gani la siasa linawaleta wapinzani wote, na viongozi wa kidini na hata waziri. Pple of your type with negativity ndo mnakwamisha maendeleo.
 
Back
Top Bottom