Thubuutu, mimi sio Kingungeugeu.Hujitambui...
Kama ni wanywa viroba na darasa la nne failure ni nani aliyewafikisha hapo? Kwa nini wafeli darasa la nne waishie kwenye viroba? Labda ni ukosefu wa elimu bora, uhaba wa vitabu, madawati, walimu kutokuingia darasani, yote haya yamechangia elimu duni. Ni nani aliyesababisha haya kama siyo chama tawala? Wameshindwa kuweka elimu iwe kipaumbele matokeo yake vijana hawana pa kukimbilia. Yote haya yanachangia watu kutaka MABADILIKOYani wanaofagia barabara wanaonekana kabisa ni wanywa viroba....wanaonesha ni darasa la nne failure...
Kupiga push ups kwa Magufuli ni mazoezi, lakini kupiga deki ili "mkubwa" apite ni akili ya kitumwa na udhalilishaji wa hali ya juu. Hawa Chadema (waliojificha nyuma ya Ukawa) watawakomboaje watanzania toka kwa mkoloni mweusi wakati wao wenyewe wanafurahia vitendo vya kibwanyenye kama hivi mwaka 2015? Halafu Mkapa akiwaita malofa na wapumbavu wanaanza kupiga mayowe, oh tumetukanwa.Magufuli kupiga Push up kaonekana hana akili,lakini leo watu wanapiga deki kwenye barabara wanaonekana wamefanya kitu cha maana kabisa.
Yani tusio na huu ushabiki tunajione vituko vingi mwaka huu.
nyarongo upoHaya ni mahaba kutoka uvungu wa moyo. Wananchi wa Mara wakipiga deki ili msafara wa Lowassa upite katika Barabara hiyo...
Hawakawii kusema hapa ni Senegal
View attachment 297256View attachment 297257View attachment 297258View attachment 297259
Waliambiwa wakale malimaoKila mahali Lowassa anapofika, watu wanampokea kama Mfalme na mkombozi wao. MaCCM wakiona hivyo wanachukia na kuumia sana, wanatamani kumeza hata wembe.
... na wapige mbizi.Waliambiwa wakale malimao
Halafu huu mchezo wa kuigiza kwa nini Chadema hawataki kuufanyia huko "kwao" Kilimanjaro? Utasikia wanakuambia huko watu wameamka. Kwa kweli huu upuuzi hawa jamaa wa Ukawa kama wangekuwa na akili timamu wasingeufurahia hata kidogo. Lakini ipo siku.assume baba ako au kaka ako ni miongoni mwa wanaodeki barabara
Ungekuwa na akili timamu usingeandika hayo. Down's SyndromeHalafu huu mchezo wa kuigiza kwa nini Chadema hawataki kuufanyia huko "kwao" Kilimanjaro? Utasikia wanakuambia huko watu wameamka. Kwa kweli huu upuuzi hawa jamaa wa Ukawa kama wangekuwa na akili timamu wasingeufurahia hata kidogo. Lakini ipo siku.
Tatizo hao viongozi wenyewe wa kisiasa karibu wote wao hutanguliza masilahi yao binafsi mbele,tena wengine hudanganya ni matakwa ya wananchi. Na hao wananchi wenyewe pia wamekazana kushabikia tu,mie sionagi tofauti ya wanaoshabikia chama tawala wala upinzani.
Hiyo Down's Syndrome labda anayo babaako.Ungekuwa na akili timamu usingeandika hayo. Down's Syndrome
musoma mjini wana mahaba na mabadiliko
Sababu ya wao kuishia darasa la nne ni nini?Yani wanaofagia barabara wanaonekana kabisa ni wanywa viroba....wanaonesha ni darasa la nne failure...