Basi magamba yataiga sasa hv kupiga deki barabara. Mwaka wameshikwa vibaya sana.Aibu yao.
NB:Ccm sio malofa,wana akili timamu ya kutafakari na kuchanganua sera!
Utasikia kesho wamekamatwa na polisi na kupandishwa kizimbani.
Kwa malipo lakini
NB:Ccm sio malofa,wana akili timamu ya kutafakari na kuchanganua sera!