Wananchi Mara wapiga deki barabara Lowassa apite

Wananchi Mara wapiga deki barabara Lowassa apite

Wana wa tarime big up
Tupo pamoja mwaka huu masisiem yatanyooka tu yapishe rais wetu apite yasituletee uck
 
Hii ni dalili nzuri sana kwa Mtu kama huyu mwenye ushawishi. Maana kuna vitu vingi tuu wananchi watajikuta wakifanya kwa kujitolea katika kuweka mazingira safi kwa mfano,kujenga kwa kujitolea mahospitali ,shule .hata hizo barabara kupanda miti,kweli. Raisi tumempata...mwaka huu.
 
Yani wanaofagia barabara wanaonekana kabisa ni wanywa viroba....wanaonesha ni darasa la nne failure...

Yote hayo ni mazao ya uongozi wa ccm , ndiyo iliyofikisha hapo. Wamegundua ndiyo maana hawaitaki tena.
 
Hata Mwanza walideki barabara ya Airport alipokuja kutambulishwa
 
Hahaaaa chezeiya mahaba mahabati yakizidi hawa sio wananchi wa Mara watakua wa Konacry wanamsafishia njia Edo
 
How love is this..... Mungu mkubwa jamani dah! Upendo wa hali ya juu sana
 
Mtawauwa CCM kwa presha. Bahati mbaya, hata kura hao vijana watapiga. Mlizoea kusema vijana huwa hawapigi kura, mwaka huu ni kinyume chake
 
Na magufuli akipita atakua anasema kimoyo moyo kua NIMEPITA ILA SIKUBALIKI KABISA...... MA CCM YAMEIBA TU KURA KUNIPITISHA...
 
Uwiiiiiiii wakurya mmetisha sanaaaa!
Mmempokea rais wetu kwa style ya aina yake!
Hongereni,ngoja na sisi huku Dar tujipange na sie tumpokee kivingine kwenye kufunga kampeni October 24.

Sidhani kama kuna mkurya anayeweza kufanya mzaa kama huo, au inaonekana huwajui wakurya wewe.
 
Naona picha ya mateja wanne sijui watano 'wakifagia' eneo moja.
 
Ajitokeze Mwenye Mahaba! Na Magufuli Ampige Deki Moyo Wake Arudishe Nyumba Za Nhc Alizouza Akiwa Waziri, Tunataka 5 Tu Ikiwemo Kebbys Hotel Iliyoko Mwenge Hii Pombe Ameikabidhi Kwa ## Kama Muendeshaji Mkuu, FaizaFoxy Mzima Lakini?! Wana Mabadiliko Maswali Ni Mengi! Pasi Na Majibu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom