Wananchi Mara wapiga deki barabara Lowassa apite

Wananchi Mara wapiga deki barabara Lowassa apite

bila shaka ni wanachadema au ulipo tupo hao,,mana sio rahisi raia asiye katika milengo hiyo miwili akafanya hiyo kazi,,
 
hawa wanaweza kunipa majibu ya kweli. Lizabon na Faizafoxy hivi hawa vijana sio Guinea hapo?
 
Sijui Kasuku wao atakariri aliyo yasema Simbachawene kwamba GESI sio yetu ni ya mwekezaji binafsi!!!??? Halafu atambe tena kwamba atawafukuza viongozi wote wa TANESCO, huku akijua kwamba Mkurugenzi wa TANESCO anahaha kusaka fedha za kulipia GESI ya watu ili tusilale giza wiki ijayo!!!
hata huruma hawana!! wamelikoroga sasa wanataka mkurugenzi wa tanesco alinywe. Gesi wamegawa sharia ya gesi wakasaini haraka haraka, tunataka mikataba yote ipitiwe upya, irekebishwa kwa vigezo vinavyokuballika kimataifa kama wamekula pesa za wamerikani na wachina basi wamuachie Lowassa afanye hiyo kazi
 
mkapa hakukosea kwel chzi sio lazima aokote makopo
 
Tumekosa posho leo lumumba,wakubwa wamenuna baada ya kuona haya mapokezi,Ukawa mnatuuzi!!!
 
barabara za magufuli +gvmnt ya jakaya uhuuuuuuuuuu ad rahaaaaa na mtadejiiii sanaaaaa
#hapa kazi tu.....rais wa tanzania ni magufuliiiiiiii
 
Kesho ni balaa...

Tunachaji ma camera tu hapa..
 
Yani wanaofagia barabara wanaonekana kabisa ni wanywa viroba....wanaonesha ni darasa la nne failure...
 
Uwiiiiiiii wakurya mmetisha sanaaaa!
Mmempokea rais wetu kwa style ya aina yake!
Hongereni,ngoja na sisi huku Dar tujipange na sie tumpokee kivingine kwenye kufunga kampeni October 24.

Hivi makomeo angefanyiwa hivi daaah si tusingepata usingizi humu jf manaake wako wachache lakini wafa maji.
 
Back
Top Bottom