nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
teh teh, kweli nchi hii tuna safari ndefu yaani, harua na pilau zinawapeleka waunguja kwenye mkutano duh...Mkuu unajichanganya sana!Haukuwepo kwenye mkutano wa Zanzibar wewe!!Wewe upo Singida na hizi picha za Zanzibar umeletewa tu!Kwa taarifa yako mkutano wa Zanzibar uliambatana na UGAWAJI wa PILAU ili kuwaleta watu kwenye mkutano!
ALIYEKULETEA PICHA ZA ZANZIBAR MUOMBE PIA AKUONGEZEE PICHA za waliokuja kula ubwabwa!