Wananchi kuwakataa Zitto Kabwe na Edward Lowassa

Wananchi kuwakataa Zitto Kabwe na Edward Lowassa

Status
Not open for further replies.
Kunabaadhi ya vyama vya kisiasa niwasakatonge mfano ACT-Wazalendo hawana jipya nimajungu2
 
JK tuondeshee hili fisadi, si ulijiridhisha kuwa liliiba baba, Ukamwamuru ajihuzuru, huyu ambaye BUnge lako liliona ni mtu wa kifisadi na rais kama taasis ukajiridhisha ameamka akaungana na kina mjenga, kigwangala sasa wanataka URAIS, hata AIBU JK HAWA WATU HAWANA

Unataka JK awe Gorbachev wa CCM sio
 
Zitto anawajambisha Bavichaa!Mngekuwa mnauwezo wakumtoa roho mngekuwa mshatekeleza ila kwa bahat mbaya kisha waambia kuwa mkijaribu kama mlivyomfanyia marehemu chacha wangwe atateketeza mpaka panya wa ndani kwenu shenzi nyie.
 
Na mwaka huu mtaendana sana pharmacy kununua panadol na madiclopar,EL ndo mpango mzima asiye taka ahame nchi
 
Na mwaka huu mtaendana sana pharmacy kununua panadol na madiclopar,EL ndo mpango mzima asiye taka ahame nchi

Kiboko yenu JK tu, dawa anayo tena inatosha kwa tiba kamili na hakuna atakayezuia, kama hakuzuia EL kujihuzuru nani atazuia leo??
 
Zitto anawajambisha Bavichaa!Mngekuwa mnauwezo wakumtoa roho mngekuwa mshatekeleza ila kwa bahat mbaya kisha waambia kuwa mkijaribu kama mlivyomfanyia marehemu chacha wangwe atateketeza mpaka panya wa ndani kwenu shenzi nyie.

ACT inaenea kwenye kiganja cha Bavicha tuu.. Mabaraza mengine yanapambana na CCM huku wasomi wakiandaa sera, ilani na agenda za Uchaguzi mkuu.... Kwa ujumla tuko vizuri.
 
Ma-mvi nshasahau hata na sauti yake asee! Sauti yake ya mwisho nliisikia pale aliposema "nimedhalilishwa sana ......."

Nikae kimya wasije wakasepa na kucha zangu.....
 
Magari mapya 5, gharama za mafuta,na posho za vijana,zilielekezwa Act badala ya Bsjaji na Bodaboda lengo moja
 
Wewe mleta uzi kilaza sana sasa hapo kwenye heading yako ZZK wa nini? Hivi bavicha bila kumtaja ZZK mnajua Dj hatoi posho mpaka muandike jina lake, haya kachukue posho yako kwa kumchekesha mfalme

Wewe mwenye akili za kupampu, je umeanza kuona uhusiano uliopo baada ya speech ya ZZK au bado akili zimegoma kupampiwa. Ukiona tunaandika twajua, subiri zaidi
 
Kijana wa sasa na mwenye akili hawezi kuisapoti sisiemu. Kma yupo basi ndo wale wale wakizeeka wasipokuwa wachawi basi watakuwa waganga wa kienyeji!
 
Bavicha bila kumtaja Zitto Mimba Zitatoka,wameshakimbia majukwaa yote maana kila wakifungu Simu zao wanakutana na ACT-Wazalendo,wakiwasha tivi wanamkyta Zitto Radio ndio usiseme,walibaki wanategemea JF nako wamezidiwa hoja,sasa mpaka wanatia huruma kwa jinsi walivyokuwa wanyonye.

wahurumueni wasije ugua presha.

Utaugua presha kwa sababu ya wanaokula fadhila ya mafisadi wa nchi hii?
 
Mpangawangu Hii inathibitisha yaliyomo kwenye zile mail kwamba ongeza hela ili tuongeze nguvu kwenye social media kwa hiyo mnajiona mnashinda kwa kushinda humu jf! Time will tell
 
Kujaa kwa watu mikutanoni haimaanishi watu wamepokea act No watu wanataka kuona hivi wasaliti wanafananaje! !! That's all
 
Yaani nchi maskini namna hii karibu kila mtu ameshaguswa kwa namna moja au nyingine, kama sio wewe basi ndugu yako anakosa dawa hospitali, kama sio mwanao bc wa ndugu yako ndani ya familia anakosa elimu stahiki na matatizo lukuki kwenye nchi hii, ambayo kila mtu anajua jinsi chama Chao kilivyochangia kutufikisha hapa HALAFU VI JAMAA FULANI VINAKUBALI KUPEWA HELA KUVURUGA MAMBO NA KUCHELEWESHA UKOMBOZI HAKI MLAANIWE KABISA NYIE NA VIZAZI VYENU!
 
Yaani nchi maskini namna hii karibu kila mtu ameshaguswa kwa namna moja au nyingine, kama sio wewe basi ndugu yako anakosa dawa hospitali, kama sio mwanao bc wa ndugu yako ndani ya familia anakosa elimu stahiki na matatizo lukuki kwenye nchi hii, ambayo kila mtu anajua jinsi chama Chao kilivyochangia kutufikisha hapa HALAFU VI JAMAA FULANI VINAKUBALI KUPEWA HELA KUVURUGA MAMBO NA KUCHELEWESHA UKOMBOZI HAKI MLAANIWE KABISA NYIE NA VIZAZI VYENU!

Pole sana Bavicha,ACT wazalendo kinatatafuta kula kwa 58% ya watanzania wasiojiandikisha,pia kama Cuf walivyosema wapo tayari kuungana na ACT wazalendo nyie Chadema hamtaki sasa watanzania wawaeleweje?Mnyika anadiriki kuongea mbele ya umma kuwa adui wao mkuu ni Zito,kweli ndo siasa hizi tunaelekea wapi,siasa sio vita siasa ni hoja na sera Chadema bado mna siasa za kizamani badilikine la sivyo mwaka huu mtatoka kapa
 
Kwa mipango ya chini chini, kununua magazeti, kununua watu JF forum na hata mamodereta wetu kufuta nyuzi zenye mashiko au kuchanganya nyuzi kwa lengo la kuwapoteza wananchi, hakika EL atakataliwa na wananchi iwapo atagombea ama kupitia CCM, ACT au TLP.

EL atakataliwa kama ambavyo Mrema, ZZK wanakataliwa na wananchi, watu hawa wanaharufu kali ya usaliti kwa umma.

Ukituhumiwa mambo ya UFISADI huwezi tena uje kuwa amri jeshi mkuu wa nchi, fisadi??? (kwa maneno yako ulijihuzuru kulinda CCM na serikali sio wananchi ndo maana hujaweza kusema ukweli wa mambo hado leo unalalamika tu, kama ulionewa sio sema ukweli once and for all) wananchi wa tz sio wajinga pesa wala, pilai kama Nape ala lakni kura kuchagua rais, hatuwezi mpa mtu kama EL.

Umekaa bungeni kimya miaka 8, huna hata haya. Ina maana hujaona suali ambalo serikali au mbunge mwenzako kalikosea?? bubu awe rais? au mbinafsi awe rais???

Nawasilisha

Kwa hilo nakubaliana na wewe 100%
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom