Wananchi kuwakataa Zitto Kabwe na Edward Lowassa

Wananchi kuwakataa Zitto Kabwe na Edward Lowassa

Status
Not open for further replies.
El na ZZK n kitu kimoja hatuwezi wapa madaraka hao kamwe wasahau
 
Kwa kashfa za EL hata ubunge ni makosa ya CCM kuwa hadi leo anao
 
wee lizibon mwehu kabisa,huyo ndiye mtanzania pekee ambaye ataifanya nchi hii ikae sawa,wengine wote ni manyangau tu
.
 
wee lizibon mwehu kabisa,huyo ndiye mtanzania pekee ambaye ataifanya nchi hii ikae sawa,wengine wote ni manyangau tu
.

Rudisheni pesa za mzee, acheni kufaidika juu ya mgongo wake, mtamuua na presha bure siku kura za watanzania zitakapopigwa na awe wa mwisho kama DOvutwa
 
Hivi kweli unaweza kutaka kuwa rais hata swali moja bunge kwa miaka 8 hakuna??? hujui shida za watanzania harafu unataka uwe rais? Wa watanzania au wa chuo?

Ukilinganisha maendeleo ya Jimboni kwake na hao waliouliza maswali vipi? Maana maswali ni muhimu na maendeleo ni muhimu pia
 
miaka nane neno la mwisho alikua analalama oooo tatizo uwaziri mkuu haka kajamaa mamvi ni zero kabisa hawezi hata kujitetea aisee
 
Ukilinganisha maendeleo ya Jimboni kwake na hao waliouliza maswali vipi? Maana maswali ni muhimu na maendeleo ni muhimu pia

Maendeleo bila maswali huwezi pata isipokuwa iwapo wewe ni fisadi, yaani unatumia fedha binafsi kujenga madarasa, barabara, maji, umeme vijiji, je EL amejenga barabara Monduli???
 
CCM bila EL watakufa kifo cha mende. Na wananchi hawawataki mafisadi. Kwahyo watakufa tu
 
Maendeleo bila maswali huwezi pata isipokuwa iwapo wewe ni fisadi, yaani unatumia fedha binafsi kujenga madarasa, barabara, maji, umeme vijiji, je EL amejenga barabara Monduli???

Ukitumia Fedha binafsi kama Ndesamburo kule Moshi au Mbowe zile ambulance maana yake ni Fisadi?
 
Miaka 8 bila swali hata na watetezi wake kama ni faraaaa tu, hoja ni iweje miaka 8 bila swali bungeni???

Hata mawaziri wengine waliostaafu utawaona wanakaa Nyuma kabisa kimya. Yeye anaijua serekali yote na kuuljza swali ni kama kutaka kuwaumbua hivyo kwa Busara tu utawaona wengi wako kimya
 
Hata mawaziri wengine waliostaafu utawaona wanakaa Nyuma kabisa kimya. Yeye anaijua serekali yote na kuuljza swali ni kama kutaka kuwaumbua hivyo kwa Busara tu utawaona wengi wako kimya

Sasa yuko Bungeni kuwalinda serikali au kuwakilisha wananchi?
 
Endelea kuwashawishi kwa hoja watu wamfuate unayemtaka lakin heshimu pia watakaokuwa na mawazo tofauti na wewe.Hatupo sawa na hatufikiri sawa.

Demokrasia maana yake utawala wa watu, ndio maana tutaenda kwenye chaguzi, wananchi wenyewe wataamua.Vyovyote yatakavyokuwa mawazo ya wengi yatakayoonyeshwa kwenye sanduku la kura ndio mawazo ya watu wa Tanzania, na ndiye mtu sahihi waliyemuona anawafaa.Waheshimu watu hao.
Naheshimu mawazo ya kila mtu na chaguo la mtu...lakini sidhani kama unahitaji kuwa na akili ya ziada au kuambiwa madhira waliyotusababishia watawala wetu waliopo madarakani...labda kama na wewe ni miongoni mwa hao wanaoitzfuna nchi kwa jinsi watakavyo...
 
Miaka yake kumi kazi ni kuonga makanisa na misikitini tu hajabu amekaa bungeni kila siku yupo lakini hajawahi kuchangia mda wote katia maji mdomoni sijuhi leo ndo anapata miujiza wapi ya kumwaminisha akiea raisi hatakaa kimya na ataacha tabia yake ya kuhonga makundi ya kijamii,ipo siku atataka kuhonga akiwa Ikulu na hapo ndo balaa litaanza make tabia ni kama Ngozi haibadiliki
 
itabidi tuitishe mgo
mo usio kuwa na ukomo kwa wanajamvi wote mpaka tutakapoambiwa huyu Yuda ninani humu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom