fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,073
- Thread starter
- #101
Hakuna hoja hapo zaidi ya u.jinga
Ujingaaa ni kushindwa kuona hoja, iliyothibitika bungeni na rais kuiridhia, je bado una swali?
Hakuna hoja hapo zaidi ya u.jinga
Ujingaaa ni kushindwa kuona hoja, iliyothibitika bungeni na rais kuiridhia, je bado una swali?
Kamwita mfadhili wake wapi, kwenye kikao cha ndani? au nje
Kwa mipango ya chini chini, kununua magazeti, kununua watu JF forum na hata mamodereta wetu kufuta nyuzi zenye mashiko au kuchanganya nyuzi kwa lengo la kuwapoteza wananchi, hakika EL atakataliwa na wananchi iwapo atagombea ama kupitia CCM, ACT au TLP.
EL atakataliwa kama ambavyo Mrema, ZZK wanakataliwa na wananchi, watu hawa wanaharufu kali ya usaliti kwa umma.
Ukituhumiwa mambo ya UFISADI huwezi tena uje kuwa amri jeshi mkuu wa nchi, fisadi??? (kwa maneno yako ulijihuzuru kulinda CCM na serikali sio wananchi ndo maana hujaweza kusema ukweli wa mambo hado leo unalalamika tu, kama ulionewa sio sema ukweli once and for all) wananchi wa tz sio wajinga pesa wala, pilai kama Nape ala lakni kura kuchagua rais, hatuwezi mpa mtu kama EL.
Umekaa bungeni kimya miaka 8, huna hata haya. Ina maana hujaona suali ambalo serikali au mbunge mwenzako kalikosea?? bubu awe rais? au mbinafsi awe rais???
Nawasilisha
Ushahidi chukua kwa spika wa bunge na JK, mimi naamini Bunge na Rais kama taasisi za umma. UTAOLEWA WEWE na hela za EL
MR PRESIDENT naunga mkono hoja...njoo huku utukane pia...!Kwa mipango ya chini chini, kununua magazeti, kununua watu JF forum na hata mamodereta wetu kufuta nyuzi zenye mashiko au kuchanganya nyuzi kwa lengo la kuwapoteza wananchi, hakika EL atakataliwa na wananchi iwapo atagombea ama kupitia CCM, ACT au TLP.
EL atakataliwa kama ambavyo Mrema, ZZK wanakataliwa na wananchi, watu hawa wanaharufu kali ya usaliti kwa umma.
Ukituhumiwa mambo ya UFISADI huwezi tena uje kuwa amri jeshi mkuu wa nchi, fisadi??? (kwa maneno yako ulijihuzuru kulinda CCM na serikali sio wananchi ndo maana hujaweza kusema ukweli wa mambo hado leo unalalamika tu, kama ulionewa sio sema ukweli once and for all) wananchi wa tz sio wajinga pesa wala, pilai kama Nape ala lakni kura kuchagua rais, hatuwezi mpa mtu kama EL.
Umekaa bungeni kimya miaka 8, huna hata haya. Ina maana hujaona suali ambalo serikali au mbunge mwenzako kalikosea?? bubu awe rais? au mbinafsi awe rais???
Nawasilisha
Naked head....hollow minded...!!! Ur such a crook who needs dick to cool down ur irritating rectum..!!! Imagine...u speak all rubbish...like ur...!!!
Fikiri kwanza tatizo lako la ushoga hujalimaliza.nenda kaombewe uache kupopolewa ndiyo uje na mishoga wenzako mlete hoja za maana.Lowasa ndiyo rais ajae taka usitake.sisi team Lowasa now tunasherekea ushindi.
He was with ur mama...go ask her...!!! Rubbish...!!!
Poorest of all...!!!
You back unders down there really need a MAN to screw u up...!! Nasty hole head...!!!
You dog tape worms, i was away...!! wtf .!!? i will screw you up, an agent of arrogance..come up..clean i am here...
Ww paka shume...can u even a bit talk negatives about EL...nyokooo...come clean am here..!!!
Simpendi EL hata bule lkn naona hoja ya kishamba na ninauliza je kama bungeni ndo mahali pa kuonesha uwezo wa kuwa Rais je mbona Silaa huyuko bungeni na ndo ananogeshwa humu? au hoja za watumwa wa watu.
Wewe mleta uzi kilaza sana sasa hapo kwenye heading yako ZZK wa nini? Hivi bavicha bila kumtaja ZZK mnajua Dj hatoi posho mpaka muandike jina lake, haya kachukue posho yako kwa kumchekesha mfalme
Zitto si mjamaa wala mzalendo. Ni msaliti tu!Bavicha bila kumtaja Zitto Mimba Zitatoka,wameshakimbia majukwaa yote maana kila wakifungu Simu zao wanakutana na ACT-Wazalendo,wakiwasha tivi wanamkyta Zitto Radio ndio usiseme,walibaki wanategemea JF nako wamezidiwa hoja,sasa mpaka wanatia huruma kwa jinsi walivyokuwa wanyonye.
wahurumueni wasije ugua presha.
Upepo wa mabadiliko utawakumba wote wanaoendeleza siasa za kale, siasa zisizo na hoja, siasa za matusi, uongo na kashfa.Watanzania wamezichoka siasa hizi.
Watanzania wanataka siasa za masuala yao ya maendeleo, siasa za kushindanisha nin kizuri zaidi kifanyike kwa manufaa ya watu.Ndio maana unashuhudia sasa Watanzania wakiendelea kwa kasi sana kuipokea ACT.
ACT WAZALENDO, TAIFA KWANZA, TURUDI KWENYE MISINGI