Wananchi kutokufuatilia mambo ya msingi ni ishara kuwa jamii ya Watanzania ina ufinyu wa akili

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,702
36,131
Kuna Watanzania mamilioni mpaka leo hawajui kuwa Kituo Cha Haki za Binadamu (LHRC) kimefungua kesi dhidi ya Waziri wa Fedha na Mipango pamoja na Mwanasheria Mkuu (AG) kupinga tozo za miamala ya kielektroniki ambayo imegusa maisha ya kila Mtanzania.

Watanzania hawa Diamond Platinum leo akitoa wimbo mpya ndani ya saa 12 tu viewers milioni 5.

Watanzania kufuatilia mambo yasiyo na msingi ni ishara kuwa akili za wengi ni finyu.

Kufuatilia mambo ya burudani sio kosa bali tatizo ni kuacha kujua mambo muhimu ya kitaifa yanayogusa maisha ya wengi na badala yake kihangaika na vitu vidogo vidogo.

Watanzania wengi wanakupangia safi ya wachezaji wa Yanga na Simba au Manchester united na Arsenal golikipa mpaka wale wachezaji wa ziada. Hao wanaokupangia safu hizi wengine hata cheti cha form 4 hawana.
 
Siasa ni passion sio kila mtu atakuwa katika angle ya kisiasa. Nchi hii ina wanasiasa wengi sana na sizani kama kuna ombwe kwenye eneo hili.
 
Kuna Watanzania mamilioni mpaka leo hawajui kuwa Kituo Cha Haki za Binadamu (LHRC) kimefungua kesi dhidi ya Waziri wa fedha na mipango pamoja na Mwanasheria mkuu (AG) kupinga tozo za miamala ya kielektroniki ambayo imegusa maisha ya kila Mtanzania.

Watanzania hawa Diamond Platinum leo akitoa wimbo mpya ndani ya masaa 12 tu viewers milioni 5.
Watanzania kufuatilia mambo yasiyo na msingi ni ishara kuwa akili za wengi ni finyu.

Kufuatilia mambo ya burudani sio kosa bali tatizo ni kuacha kujua mambo muhimu ya kitaifa yanayogusa maisha ya wengi na badala yake kihangaika na vitu vidogo vidogo.

Watanzania wengi wanakupangia safi ya wachezaji wa Yanga na Simba au Manchester united na Arsenal golikipa mpaka wale wachezaji wa ziada. Hao wanaokupangia safu hizi wengine hata cheti cha form 4 hawana.
Kesi si imeshafunguliwa? Au ulitaka Kila mtanzania afungue kesi?

Hivi mbona nyie Nyumbu mnapenda sana attention? Kenge
 
ACHA hizo

Ungekuja na tafiti kwanini hawafuatilii mambo ya kisiasa kama hayo!!!?

Kisaikolojia hii inamaanisha wamechoshwa na SIASA za Tanzania kimfumo na kiuwajibikaji!!

Hawaoni kama wanasikilizwa na watawala wamepuuzwa kabisa Hadi KWENYE sanduku la kura!

Ndio màana wachache wenye akiliwanashiriki kuimba WIMBO huu hapa;-

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
 
Akili ndogo hujishughulisha na mambo madogo madogo Ila akili kubwa hujishughulisha na mambo makubwa.

# WATANZANIA kutokufatilia mambo ya msingi ya taifa hili huu ni ujinga na upumbavu wa karibia robo tatu ya watu wa taifa hili hata wasomi nao wanao hitimu mavyuoni kila mwaka wame kumbwa na jinamizi hili la ujinga na upumbavu nao wamekuwa wasomi wapumbavu wasiotaka kujishughulisha na hatma ya taifa lao.
IMG_20220905_011739_491.jpg
 
Kuna Watanzania mamilioni mpaka leo hawajui kuwa Kituo Cha Haki za Binadamu (LHRC) kimefungua kesi dhidi ya Waziri wa fedha na mipango pamoja na Mwanasheria mkuu (AG) kupinga tozo za miamala ya kielektroniki ambayo imegusa maisha ya kila Mtanzania.

Watanzania hawa Diamond Platinum leo akitoa wimbo mpya ndani ya masaa 12 tu viewers milioni 5.
Watanzania kufuatilia mambo yasiyo na msingi ni ishara kuwa akili za wengi ni finyu.

Kufuatilia mambo ya burudani sio kosa bali tatizo ni kuacha kujua mambo muhimu ya kitaifa yanayogusa maisha ya wengi na badala yake kihangaika na vitu vidogo vidogo.

Watanzania wengi wanakupangia safi ya wachezaji wa Yanga na Simba au Manchester united na Arsenal golikipa mpaka wale wachezaji wa ziada. Hao wanaokupangia safu hizi wengine hata cheti cha form 4 hawana.
Hii ndio Tozonia 🤸🤸🏿‍♀️🤸🤸🏿‍♀️🤸🤸🏿‍♀️🤸🤸🏿‍♀️
 
Kuna Watanzania mamilioni mpaka leo hawajui kuwa Kituo Cha Haki za Binadamu (LHRC) kimefungua kesi dhidi ya Waziri wa fedha na mipango pamoja na Mwanasheria mkuu (AG) kupinga tozo za miamala ya kielektroniki ambayo imegusa maisha ya kila Mtanzania.

Watanzania hawa Diamond Platinum leo akitoa wimbo mpya ndani ya masaa 12 tu viewers milioni 5.
Watanzania kufuatilia mambo yasiyo na msingi ni ishara kuwa akili za wengi ni finyu.

Kufuatilia mambo ya burudani sio kosa bali tatizo ni kuacha kujua mambo muhimu ya kitaifa yanayogusa maisha ya wengi na badala yake kihangaika na vitu vidogo vidogo.

Watanzania wengi wanakupangia safi ya wachezaji wa Yanga na Simba au Manchester united na Arsenal golikipa mpaka wale wachezaji wa ziada. Hao wanaokupangia safu hizi wengine hata cheti cha form 4 hawana.

Ujinga bado ni adui mkubwa anayeendelea kututawala.
 
nchi inapaswa kuwa mali ya Watanganyika sasa, kusiwe na haja tena yakusubiri uchaguzi na watawala wafahamu hilo wakati wote wanapoongoza wapo undertension na ujinga wowote utawagharimu wao na familia zao.

Lolote linapotokea basi Airport itakuwa closed, masaki, oysterbay, mikocheni, kivukoni, msasani zote zitakuwa mali ya wananchi wao na familia zao watakuwa hatarini.

Angalizo: hatutahitaji kiongozi asiye na familia hapa, familia yako na wewe vinabaki dhamana yako ya uongozi.
 
Huu "ufinyu wa akili" unatutesa sana Watanzania.
Sijui tufanye nini ili Next Generation isije kupata hili tatizo.
Huu ujinga + upumbavu = uzezeta wa WATANZANIA umetengenezwa toka awamu ya kwanza [ awamu ya Mwalimu ] mpaka sasa awamu ya sita [ awamu ya Mama ].
 
Back
Top Bottom