GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,695
- 6,398
Kwa matukio yaliyowahi kuibuka na kusababisha hasira kwa wengi, lakini baada ya muda hali ikawa kimya, inaweza ikawa ni ishara kuwa Watanzania ni watu wa kipekee sana. Ama ni wasahaulifu au wana mioyo ya kipekee ya kusamehe au kupuuzia mambo.
Nitatoa mifano michache.
Serikali ilipoamua kuwahamisha Wamasai wa Ngorongoro toka kwenye ardhi yao ya asili, watu wengi walipaza sauti wakiitaka Serikali ibadilishe huo mpango.
Kulikoni mbona hilo halizungumziwi tena? Wamasai wameshapatiwa haki yao?
Nitatoa mifano michache.
Serikali ilipoamua kuwahamisha Wamasai wa Ngorongoro toka kwenye ardhi yao ya asili, watu wengi walipaza sauti wakiitaka Serikali ibadilishe huo mpango.
Kulikoni mbona hilo halizungumziwi tena? Wamasai wameshapatiwa haki yao?