GE2025 Wananchi Kongwa wameendelea kumbana aliyewahi kuwa spika Job Ndugai

GE2025 Wananchi Kongwa wameendelea kumbana aliyewahi kuwa spika Job Ndugai

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Wananchi wa jimbo la Kongwa mkoani dodoma wameendelea kumbada kwa maswali mazito, Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai, ambaye ni Mtia Nia wa Ubunge jimbo la Kongwa mkoani Dodoma akijinadi mbele ya Wajumbe kuomba kura.

Chanzo: Jambo Tv​
 
Wananchi wa jimbo la Kongwa mkoani dodoma wameendelea kumbada kwa maswali mazito, Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai, ambaye ni Mtia Nia wa Ubunge jimbo la Kongwa mkoani Dodoma akijinadi mbele ya Wajumbe kuomba kura.
Huyu Mzee alishasema hatogombea tena ubunge nini kimemrudisha?
 
Wasikae kizembe, Mgalilaya hakawaii kutembeza bakora za kichwa.
mtia nia.jpg
 
What I say is, in my country a politician needs the ability to foretell what is going to happen tomorrow, next week, next month, and next year...... And to have the ability afterwards to explain why it didn't happen...🤣
 
angepumzika tu kama wakina Majaliwa. yeye kajifanya kichwa kigumu basi hapo bado kuaibika. Huyo ndo kibibi samia, hutakwi katalika. So far so good amekaa sana hivyo atoke tu.
 
Hapa alibakisha masaa 72 tu duniani kweli maisha ni fumbo.
 
Back
Top Bottom